Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

capital city of malaysia ya africa 😂😂😂

IMG_8570.jpeg
IMG_8571.jpeg
IMG_8572.jpeg
IMG_8573.jpeg
IMG_8574.jpeg
IMG_8575.jpeg
IMG_8576.jpeg
IMG_8577.jpeg
 
Siku hizi wanasema kwamba gorofa sio kipimo cha maendeleo 😂😂😂
kuna kienyeji flani toka sanaa capital of yemen, content iliisha ikabaki ametafuta picha za kibera na kenyans complaining of bad governance pale x, ili atafute vile anaweza jifuta machozi😂😂😂 ...ina sikitisha sana, kule unadinywa na Israel huku unadinywa na kenya😭🤣🤣🤣...
 
😂Kumbuka we are dealing with descendants wa wale walioamini kinjikitile Ngwale, mwishowe wakapigwa risasi za matako😂😂😂😂 so waelewe brother .
Maku si juzi tu mlikua mnajikusanya kwa yule pastor wa shakahola,unakashifu kitu cha miaka zaidi ya 80 iliyopita while huko ukunyan ni juzi maku ww
 
Hapo hujawaambia Kila team inayoshiriki NBC premier inakusanya 1.1bil kutoka Azam awe ameshindwa au laah acha wao waendelee kununua visumbuz vya dstv wakitegemea mpira wao kukua
Mkuu asilimia kubwa ya wanusa gundi nowadays wanatumia azam decoder, usisikie maneno ya mnuka nnya, anajaribu kujifariji tu. Hakuna mkenya alitazama Chan kwa kutumia tv yao ya taifa cz ni analog, wakenya wote wanatumia Azam kwa sasa watake wasitake, hawana choice.
 
Lodwar in northern Kenya ingekuwa huko kwenu ingeshapewa jiji kitambo sana View attachment 3471274
Lodwar yenyewe sasa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20250913_190400_Google.jpg
Screenshot_20250913_190455_Google.jpg
Screenshot_20250913_190617_Google.jpg

Nyie wakenya ni mafukara sanaa, ni vile tunawafariji tu hapa. Let me give you a simple home work, nitafutie sehemu ya lodwar tofauti na hiyo road iliyokatiza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom