ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
tafuta hata picha moja niliorudi hapo unitag mbwa wewe 😂😂😂😂😂Siku hizi KAZI yako imebaki kurudiarudia mapicha. These exact pictures you have shared here more than 50 times.
tafuta hata picha moja niliorudi hapo unitag mbwa wewe 😂😂😂😂😂Siku hizi KAZI yako imebaki kurudiarudia mapicha. These exact pictures you have shared here more than 50 times.
Maku si juzi tu mlikua mnajikusanya kwa yule pastor wa shakahola,unakashifu kitu cha miaka zaidi ya 80 iliyopita while huko ukunyan ni juzi maku ww😂Kumbuka we are dealing with descendants wa wale walioamini kinjikitile Ngwale, mwishowe wakapigwa risasi za matako😂😂😂😂 so waelewe brother .
Kunyan ni wachafu aisee
Mkuu asilimia kubwa ya wanusa gundi nowadays wanatumia azam decoder, usisikie maneno ya mnuka nnya, anajaribu kujifariji tu. Hakuna mkenya alitazama Chan kwa kutumia tv yao ya taifa cz ni analog, wakenya wote wanatumia Azam kwa sasa watake wasitake, hawana choice.Hapo hujawaambia Kila team inayoshiriki NBC premier inakusanya 1.1bil kutoka Azam awe ameshindwa au laah acha wao waendelee kununua visumbuz vya dstv wakitegemea mpira wao kukua
Lodwar yenyewe sasa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Lodwar in northern Kenya ingekuwa huko kwenu ingeshapewa jiji kitambo sana View attachment 3471274
Huyu kichaa katokea wapi, since morning analeta vimiradi ambavyo hata south Sudan wanafanya.View attachment 3471275View attachment 3471276View attachment 3471277View attachment 3471278View attachment 3471279View attachment 3471280
😂😂😂Render here, render there, render everywhere. Starehe point affordable housing, 22 blocks already up and rising 👏👏...
Lugha gn anaongea huyu mkora? Amepata smartphone juzi naye kajoin jf, hata lugha yake inaonesha kabisa ni mkibera huyu, wenzie wote tumewafunza adabu na Kiswahili fasaha, bado huyu mkora, atanyooka tu mana hiki Kiswahili anachoongea kilikuwa cha Nicxie na wanusa gundi wengine humu, but nowadays wanajitahidi kwenye lugha.😂😂😂unakumbuka zile Enzi 2014 ya the 3 mtungi look alike blue towers?... hii ma kinjikitile ilikua na makelele nyingi sana " ati tunawapumulia mgongoni" shut up! 🤣🤣 sahi wana pita kimya,kimya...
Mbona hawa jamaa ni wachafu namna hii? Inanikumbusha Tz ya 80s.najua hamuwez oneshwa kama hii ni nairobi ya singapore 😂😂😂😂
View attachment 3471331View attachment 3471332View attachment 3471333View attachment 3471334View attachment 3471335View attachment 3471336View attachment 3471337View attachment 3471338View attachment 3471339
Kwa hapa serikali yenu inajitahidi, huenda affordable housing zitapunguza slums Kenya, maana mnazo nyingi 😂😂🙌
Uhalisia wa wananchi wa Singapore
View: https://x.com/moneyacademyKE/status/1966713452216676722?t=FB6clBVYGUAbB_WaJP3Q7g&s=19
🤣😂😂😂Kiatu Kimoja hakikanyagi chawa, jaribu basi u upgrade wardrobe chokoraa. Alafu punguza hasira nanii🤣😂😂...Maku si juzi tu mlikua mnajikusanya kwa yule pastor wa shakahola,unakashifu kitu cha miaka zaidi ya 80 iliyopita while huko ukunyan ni juzi maku ww
Sema basi uchungu imezidi nichomoe🤣🤣🤣Huyu kichaa katokea wapi, since morning analeta vimiradi ambavyo hata south Sudan wanafanya.
😂😂Wacha kazi pale warehouse wanabe airport haina pesa, kuja unichungie gate na unilishie umbwa nitakulipa I swear🙏🤣🤣...Lugha gn anaongea huyu mkora? Amepata smartphone juzi naye kajoin jf, hata lugha yake inaonesha kabisa ni mkibera huyu, wenzie wote tumewafunza adabu na Kiswahili fasaha, bado huyu mkora, atanyooka tu mana hiki Kiswahili anachoongea kilikuwa cha Nicxie na wanusa gundi wengine humu, but nowadays wanajitahidi kwenye lugha.
Kazi safi. CC Rafiki wangu (Mkulunga) instanbulView attachment 3471210View attachment 3471211View attachment 3471212rView attachment 3471213😍Roads!... Dongo kundu bypass Mombasa👌👏