Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Why can't you quote in your currency? Ama you are not confident in your weak currency?
haya subiri nachomoa acha kulia sasaπŸ˜‚
IMG_8285.jpeg
 
IMG_6580.jpeg
IMG_6583.jpeg
IMG_7002.jpeg


πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚yes,yes ...More renders please😍
 
mkenya amekiri πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ»

View: https://x.com/bedjosessien/status/1966714968289509758?s=46

Hawa jamaa kitu wasichojua vitu vingi washaachwa , ukianza kwenye hata vyombo vya usafiri, sasa hivi karibia Kila wilaya watu wanakwenda na luxury buses ambazo huwez zipata popote Kenya at least kidogo Uganda wa bebeto.
Ukija kwenye vibe maeneo yote kuanzia clubs mpaka disco vumbi hakuna pa kugusa.
Kwenye exports , baada ya miaka miwili hawatakuwa na nafasi ya kuingiza bidhaa Tanzania sababu kuna majority ya viwanda vinajengwa tz na cost of production itakuwa chini sana
 

Nakumbuka nyuma nyuma tulikua tunapambania sana Mpira wa Tanzania , Tumetoka mbali sana, Kuna mwaka tuliilipa Brazil kucheza nao, Wakundustan waliosha vinywa Kinoma kwa kejeli ( ile inaitwa Verbal diarrhea)
Leo hii matunda yameanza kuonekana tunapenda Team zetu, tunapenda mpira, wetu na muziki wetu, Tumewekeza na tunaendelea kuwekeza ila, Hiki kizazi masikini cha nyoka kinadhani tumeanza jana na midomo bado mirefu kama Mnara wa Britam πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. Mammaae usione vyaelea , Vimeundwa.
 
Back
Top Bottom