Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya ni too primitive and restrictive minded.

Waje baada ya AFCON waone kama hilo eneo patakuwa PORINI.

Wao wamejazana kieneo kidogo, wamebanana Nairobi.

Mji umejaa ZEGE za barabara wanaita UNDERPASS, FLYOVER, HIGHWAY, BYPASS, SUPEHIGHWAY, Bado FOLENI zimejaa.

Wakiwa na mechi tu, wanafunga BARABARA.

BADO HAWAJIELEWI.
Yah, masoko mengi na stendi nyingi za mabasi zilijengwa nje ya mji lakini kwa sasa hayo maeneo watu wamehamia na kujenga kwa fujo.
 
Posibility ya Taifa Stars kucheza Play Off ni 90%
Msimamo wa Group huu hapa

1757403740980.png


Tukishinda tunakuwa na Point 13 Baada ya hapo kuna Point 6 kutoka Eritrea za Mgao. Tunakuwa na jumla ya Point 19 Kundustan waendelee kututazama.

 
Kwa sasa hakuna wa kuidanganya DUNIA ni lazima uongo ujitenge tu hao ni Zimbabwe na Uganda na bado wengine wengi tu
Sio zaidi ya kukushangaa ni vile imagine upo kijiweni kwenye utani unaambiwa

"Kwenda huko bana huna lolote ndio maana uliokota soda ya jero"

"Huyo hawezi nunua soda kaokote"

Ukimuuliza mtu akuunganishe Bar
Utasikia

"Hebu wewe subiri gari nyingine ianguke ukaokote"

It pains mzee it's humiliating asee kushobokea chakula bongo.



 

Tanzania Miaka mingi sana tulishaanza mambo ya Sayansi - mpemba effect​


The Mpemba effect is the observation that a hot liquid (such as water) can freeze faster than the same volume of cold liquid, under otherwise similar conditions. The effect is named after Tanzanian Erasto Mpemba, who studied the effect in 1963 as a secondary school student, while freezing ice cream.
 
Huwa hawakosoi chochote, aliyekuwa akikosoa ni Mkikuyu- Akili timamu na yeye wakaanza kusema ni Mtanzania.
Between Kenyans and Tanzanians, who criticizes their government more? That’s not even a question worth debating. Drop a pin anywhere on the map of Africa, ask the first person you meet, and the answer will always be the same.


And let’s be real—if you honestly think that Mkikuyu- Akili timamu clown is Kenyan, you’re either arguing just to save face or you’re plain stupid. His real nationality reeks from kilometers away. Everyone knows Tanzanians love pretending to be Kenyans online just so they can spit negativity about Kenya. On SkyscraperCity— Geza Ulole once made a fake profile called “Kibera” to pose as Kenyan and trash-talk the country. Didn’t take long before he was exposed and banned.
 
Back
Top Bottom