Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Talanta stadium itakua kama hii ya Morocco, no running track View attachment 3467588
Alafu iwe na sky rooms kama hii ya uwanja wa real Madrid View attachment 3467590
Maneno hayo sio mageni mjini

1757311371159.jpeg
 
Mm sinaga huruma kabisa na hawa mbwa, nilishasema kama ikitokea nipo msituni alafu akatokea Simba na mnusa gundi, naua kwanza mnusa gundi alafu simba tutajuana baadae. Na kama ingewezekana pia ningepeleka viruses ili wapungue mana watatupa shida kuwalisha hawa tegemezi, wanazaana kwa rate ya ajabu alafu wavivu.
Paka huwezi ua alafu simba ndio uweze? Bongolala na huo uoga wenu wote atokee simba si utajiharia.
 
ila mchina shikamoo😂😂🙌🏻
hapo utakuta bei halisi ni 200m usd
alaf another 144m usd ni ya politicians

View: https://x.com/ericnjiiru/status/1964614681668309173?s=46

Wewe Mwarabu feki huoni aibu hiyo $75M ni nusu ya hela zilitumika kujenga hako kenu ka Arusha ama kawaida yenu kutoa kivumbi kwenye jicho la jirani wakadi kuna kijiki jichoni mwenu? Alafu kwa akili yako huwezi ona hiyo ya Morocco ni renovation wakati Talanta ni ujenzi from scratch?
 
Back
Top Bottom