Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,899
- 103,769
Maneno hayo sio mageni mjiniTalanta stadium itakua kama hii ya Morocco, no running track View attachment 3467588
Alafu iwe na sky rooms kama hii ya uwanja wa real Madrid View attachment 3467590
Paka huwezi ua alafu simba ndio uweze? Bongolala na huo uoga wenu wote atokee simba si utajiharia.Mm sinaga huruma kabisa na hawa mbwa, nilishasema kama ikitokea nipo msituni alafu akatokea Simba na mnusa gundi, naua kwanza mnusa gundi alafu simba tutajuana baadae. Na kama ingewezekana pia ningepeleka viruses ili wapungue mana watatupa shida kuwalisha hawa tegemezi, wanazaana kwa rate ya ajabu alafu wavivu.
ila mchina shikamoo😂😂🙌🏻
hapo utakuta bei halisi ni 200m usd
alaf another 144m usd ni ya politicians
View: https://x.com/ericnjiiru/status/1964614681668309173?s=46
Tofauti ni kwamba Samia anashangiliwa, Ruto anakuwa criticized. That's the difference between Kenyans and Vumbistanis.Anashindana na Samia! Kisa kamuona anatembeles Gulfstream!
Mbona sioni ukimkosoa Ruto au na wewe ni kundi la tutam?😂😎Tofauti ni kwamba Samia anashangiliwa, Ruto anakuwa criticized. That's the difference between Kenyans and Vumbistanis.
Mgonjwa matapiko.