ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,489
- 88,633
Huna akili! ๐ฎSomali national army na jubaland forces hua hawaskilizani na hu pigana mara kwa mara. This time jubaland forces alilemewa na akakimbia kenya kutake refuge na ku regroup ili waweze kuendelea na vita yao na SNA... KDF considers Jubaland force as a friendly force and an ally, hakuna venye wanaeza anzisha vita nao, although wamekosa kwasababu they have undermined Kenya's territorial integrity since the conflict has spilled over into kenya's borders thus creating risk to its citizens.
Hakukimbia nchi.Sidhani kama ni kweli. Nkrumah kwanza hakuwa na nguvu.
Alipinduliwa akakimbia nchi, na kufia Uhamishoni.
Hata uwanja wa Ndege Ghana unaitwa Asante Kotoka, Mwanajeshi aliyempindua.
Timu zetu za taifa hazina kocha.
Yn ukiangalia uhitaji cheti cha ukocha kujua kwamba benchi la ufundi halifahamu linataka nn, katika miaka yote tuliyowahi kuwa na national team, hatujawahi kuwa na timu bora zaidi ya hii, hizo zingine zote ni kelele tu na maneno meengiii yasiyo na justification yoyote, kinachotuangusha kwa ss kipo wazi kabisa, benchi la ufundi. Kama tungekuwa na benchi la ufundi kama at least la kenya tungefika mbali sanaa, mana wakenya wana benchi la ufundi zuri ila timu hawana, sisi tuna timu ila hatuna benchi zuri la ufundi.Timu zetu za taifa hazina kocha.
Yametombwa kwao masenge haya ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃWanakumbuka shuka kumeshakucha
View attachment 3465863
Wamejificha wakisubiri matokeo ya Tz yawe mabaya waanze sarakasi huku wamevaa misuri.Yaani leo nyang'au Teargass amejificha kabisa baada ya nyang'au kuchezea kichapo cha wagambia nyumbani๐๐
Cc: Mimi Wewe Yule
Wasisahau njia za watembea kwa miguu.Baada ya kupiga sana kelele main roads za Masaki zimewekwa lami mpya juu ya lami za zanani sasa zinapendeza na kuvutia.
Bado mitaa ya Posta lami za zamani zimechoka inabidi zirudiwe. Samora,Mkwepu,Indira Ghandi etc inabidi zipigwe msasa.
Na manyaya ya umeme na fibre wayafukie aiseeNa za town wakifanya hakika zitanoga, hizi round about zimenakishiwa sanamu zenye mandhari ya na historia ya Dar es Salaam wakire-capet na barabara zake wakaweka na street lights na hapo NHC anarepair na kupaka rangi majengo yake basi tumamaliza kazi ibaki kazi kabisa.
Wangoje tarehe tisa Amaan Stadium labda mchezo dhidi ya Niger lakini nyang'au leo wameshatolewa kwenye kinyang'anyiro kabisa๐Wamejificha wakisubiri matokeo ya Tz yawe mabaya waanze sarakasi huku wamevaa misuri.
What was once considered ancient now seems surprisingly modern, and vice versa.
Hii ni cheaper na effective katika kufanya regular maintenance.Ni bora kuliko kufumua uanze upya. Za Masaki zimependeza sana hasa baada ya kuweka lines na signs.
Hivi u giant wa Nigeria Africa, mbona siuoni. Au ndo yake mambo ya kuishi kwenye bubble.Ni Nchi Mbili tu ndio zimeingiza viwanja viwiliโฆโฆ..Giant wa South na Giant wa East!!
Nigeria hajawahi kuwa giant ni miaka ile ya 60s and 70s wakati ndio imekuwa nchii napata pato kubwa sana la oil ndio nchi za Africa walikuwa wakiassume itakuwa nchi kubwa kiuchumi but hey ๐ฎHivi u giant wa Nigeria Africa, mbona siuoni. Au ndo yake mambo ya kuishi kwenye bubble.
Na zile nguvu zoote Za soda chalii!! Wapi kelele Za Wakunduni?Huu utulivu umezaminiwa na The Gambia. ๐๐๐