Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1756631397990.png


1756631410878.png
 
si mulisema muna dollar millionare 7200 au sio nyie ?? 😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Ni lini Tulisema Nairobi has 7,200 dollar Millionaires? Ebu tafuta hiyo post Ukipata ulete hapa ngamia hii.
 
Na mkewe akaja kuleta muswada wa kisenge sana pale bungeni.
Eti wenza wa viongozi wastaafu nao walipwe mafao ya kustaafia ya uongozi.
Hivi ana akili timamu huyooo!?
shida ya viongozi wa tanzania hawataki kukosolewa kwa kuambiwa ukweli kama vile viongozi wa kenya wanavokosolewa na kuambiwa ukweli

tungekua na viongozi wanaokubali kukosolewa basi tanzania ingekua na viongozi bora kuwahi kutokea africa

kukosolewa sio laana ni uwajibikaji
 
shida ya viongozi wa tanzania hawataku kukosolewa kwa kuambiwa ukweli kama vile viongozi wa kenya wanavokosolewa

tungekua na viongozi wanaokubali kukosolewa basi tanzania ingekua na viongozi bora kuwahi kutokea africa

kukosolewa sio laana ni uwajibikaji
Oktoba tunatiki

1756631947398.png


1756631962823.png
 
shida ya viongozi wa tanzania hawataki kukosolewa kwa kuambiwa ukweli kama vile viongozi wa kenya wanavokosolewa na kuambiwa ukweli

tungekua na viongozi wanaokubali kukosolewa basi tanzania ingekua na viongozi bora kuwahi kutokea africa

kukosolewa sio laana ni uwajibikaji

NB: Nendeni kwenye jukwaa la siasa kujadili siasa za Tanzania

 
Back
Top Bottom