President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,010
- 93,371
Oktoba tunatikiNi lini Tulisema Nairobi has 7,200 dollar Millionaires? Ebu tafuta hiyo post Ukipata ulete hapa ngamia hii.
Oktoba tunatikiNi lini Tulisema Nairobi has 7,200 dollar Millionaires? Ebu tafuta hiyo post Ukipata ulete hapa ngamia hii.
Oktoba tunatikishida ya viongozi wa tanzania hawataku kukosolewa kwa kuambiwa ukweli kama vile viongozi wa kenya wanavokosolewa
tungekua na viongozi wanaokubali kukosolewa basi tanzania ingekua na viongozi bora kuwahi kutokea africa
kukosolewa sio laana ni uwajibikaji
shida ya viongozi wa tanzania hawataki kukosolewa kwa kuambiwa ukweli kama vile viongozi wa kenya wanavokosolewa na kuambiwa ukweli
tungekua na viongozi wanaokubali kukosolewa basi tanzania ingekua na viongozi bora kuwahi kutokea africa
kukosolewa sio laana ni uwajibikaji
Kwani wote wapo Nairobi? Wacha kuwa mjingasi mulisema muna dollar millionare 7200 au sio nyie ?? 😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻
wanamshobokea zuchu kuliko rais wao😂
View: https://www.instagram.com/reel/DN-2RIaiDvk/?igsh=MWhqM2FzZGcxcW15MQ==
Maskini wakenya Kwikwikwikwikwi siku hizi mmekuwa mazombiZidi kukariri ujinga wako
View attachment 3459995
Zidi kukariri ujinga wako
View attachment 3459995
story zenu za kutunga as usual 😂😂😂😂Zidi kukariri ujinga wako
View attachment 3459995
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kwani wote wapo Nairobi? Wacha kuwa mjinga
Hata kushona nguo pekee mnataka mpigiwe makofi?Wakenya kila kitu wanaagiza kutoka kwa wazungu
SUMAJKT Garments Co. Ltd
Millitary Uniforms - Made in Tanzania
View attachment 3459720
Heavy Duty Poncho
View attachment 3459725
Land Force Number III
View attachment 3459728