President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,727
- 89,742
Kwani vyama vya siasa ni CCM pekee?Kwani anashindana na nani?
Kwani vyama vya siasa ni CCM pekee?Kwani anashindana na nani?
Ukishakua raia wa TZ unaweza kugombea kokote kule ndani ya TZ,ila shida inaanza how jk family ipite bila kupingwa sehemu walizogombea?Ridhiwan kazaliwa bagamoyo ndio kwao. Mama salma kazaliwa huko Nachingwea ndio kwao. Je, hawana haki ya kuwa viongozi?
Mimi sijaona tatizo la wao kuwa viongozi. Mbona Jescar Magufuli naye yumo kwenye Siasa? Kuna binti wa Masabuli, Kuna ndugu yake Nchimbi, mbona hamuwaongelei hao?
The venue for AFCON finals imekua inspected by the FIFA president.
View: https://x.com/Kiinya_Y/status/1961771837416726824
Kaka, siwaelewi ni kitu gani mnalalamikia.Ukishakua raia wa TZ unaweza kugombea kokote kule ndani ya TZ,ila shida inaanza how jk family ipite bila kupingwa sehemu walizogombea?
Kingine kwa wadhifa alioshawahi kushika TZ,hakuna afya kwa mkewe kuwa mbunge,aipendezi,angekua anajielewa asingekubaliana na kitu kama kile
Anyway, watu siyo wajinga.Kwani vyama vya siasa ni CCM pekee?
Hiyo FAMILIA ina TAMAA Kaliiiiiiii Sana.Kaka, siwaelewi ni kitu gani mnalalamikia.
Je, Salma hafai kuwa mbunge kwa sababu ni mke wa aliyekuwa Rais?
Je, Salma hatakiwi kuwa mgombea pekee kwenye jimbo?
Je, Salma hajiwezi au hafai kuwa mwanasiasa?
Je, Salma hana haki ya kugombea ubunge kwa sababu ni mke wa kikwete?
Tatizo la salma ni nini? Maana hata Dotto Biteko naye alikuwa mgombea pekee.
Siasa ni pamoja na kushawishi wapinzani wako wajiunge na wewe.
Kaka nakushauri uijue siasa. Bill Clinton alikiwa Rais lakini baadae mke wake akawa Secretary wa State na baadae akagombea urais na akashindwa na Trump.
Fuatilia siasa za duniani. Kama hutojali nitakuwekea nchi nyingi sana wake wa marais na watoto wao waliingia kwenye siasa.
Kaka kama wewe ni mwalimu asilimia kubwa ya watoto wako watakuwa walimu.
Lengo la siasa ni kutawala kaka si vingineAnyway, watu siyo wajinga.
Hata wakoloni walitumia akili ya kutumia INDIRECT RULE.
Sisi twende tu, tufike
Hizo ni hisia tu kaka yangu. Kila mtu anahaki ya kuwa na hisia na kupenda anachoona kinafaa. Upo huru kakaHiyo FAMILIA ina TAMAA Kaliiiiiiii Sana.
Possibly, bila Mkapa yawezekana hata ingekatalia IKULU.
Tunawacheka Wakenya, ila nadhani MSINGI alioweka Nyerere wote kwasasa tumepata wanasiasa akili za nyumbu, utakufa.Hizo ni hisia tu kaka yangu. Kila mtu anahaki ya kuwa na hisia na kupenda anachoona kinafaa. Upo huru kaka
He has visited Rwanda, Ethiopia, Uganda and even Somalia before, sasa ju amekuja Kenya inawauma. Enyewe ndio kwa maana unakanyaga benches na viatu chafu. 🤣 🤣View attachment 3458951
Acha ushamba maku
Which turmoil is kenya in?CHAN imekuja wakati mzuri Kemya. When the country is in turmoil then boom something to cheer about!
Kaka chuki inakusumbuaTunawacheka Wakenya, ila nadhani MSINGI alioweka Nyerere wote kwasasa tumepata wanasiasa akili za nyumbu, utakufa.
Maza ana siasa za visasi na watu wote walio ingia kwenye 18 zake kawalima ikiwamo Gwajima aliyemtaka akatwe mbele ya mkutano mkuu. Kwa data nilizo nazo, Ummy alisikika akisema Maza hatoshi na alikuwa akimback January ndio wakatoa yeye uwaziri, na wamekula tena ubunge.Venus Star, hivi Ummy ilikuwaje wakamkata, japo kuwa aliongoza kwenye kura za maoni?
He has visited Rwanda, Ethiopia, Uganda and even Somalia before, sasa ju amekuja Kenya inawauma. Enyewe ndio kwa maana unakanyaga benches na viatu chafu. 🤣 🤣
Here are more events to add to your pain.
![]()
![]()
![]()
![]()
Afrika ni bara la giza,visasi vipo kwa kila anaeweza kulipa kisasi kwa mbaya wake,kwa upande huo maza na magu wapo kundi 1Maza ana siasa za visasi na watu wote walio ingia kwenye 18 zake kawalima ikiwamo Gwajima aliyemtaka akatwe mbele ya mkutano mkuu. Kwa data nilizo nazo, Ummy alisikika akisema Maza hatoshi na alikuwa akimback January ndio wakatoa yeye uwaziri, na wamekula tena ubunge.