Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ridhiwan kazaliwa bagamoyo ndio kwao. Mama salma kazaliwa huko Nachingwea ndio kwao. Je, hawana haki ya kuwa viongozi?

Mimi sijaona tatizo la wao kuwa viongozi. Mbona Jescar Magufuli naye yumo kwenye Siasa? Kuna binti wa Masabuli, Kuna ndugu yake Nchimbi, mbona hamuwaongelei hao?
Ukishakua raia wa TZ unaweza kugombea kokote kule ndani ya TZ,ila shida inaanza how jk family ipite bila kupingwa sehemu walizogombea?
Kingine kwa wadhifa alioshawahi kushika TZ,hakuna afya kwa mkewe kuwa mbunge,aipendezi,angekua anajielewa asingekubaliana na kitu kama kile
 
The venue for AFCON finals imekua inspected by the FIFA president.


View: https://x.com/Kiinya_Y/status/1961771837416726824

Screenshot_20250830-193924.png

Acha ushamba maku
 
Ukishakua raia wa TZ unaweza kugombea kokote kule ndani ya TZ,ila shida inaanza how jk family ipite bila kupingwa sehemu walizogombea?
Kingine kwa wadhifa alioshawahi kushika TZ,hakuna afya kwa mkewe kuwa mbunge,aipendezi,angekua anajielewa asingekubaliana na kitu kama kile
Kaka, siwaelewi ni kitu gani mnalalamikia.
Je, Salma hafai kuwa mbunge kwa sababu ni mke wa aliyekuwa Rais?

Je, Salma hatakiwi kuwa mgombea pekee kwenye jimbo?

Je, Salma hajiwezi au hafai kuwa mwanasiasa?

Je, Salma hana haki ya kugombea ubunge kwa sababu ni mke wa kikwete?

Tatizo la salma ni nini? Maana hata Dotto Biteko naye alikuwa mgombea pekee.

Siasa ni pamoja na kushawishi wapinzani wako wajiunge na wewe.

Kaka nakushauri uijue siasa. Bill Clinton alikiwa Rais lakini baadae mke wake akawa Secretary wa State na baadae akagombea urais na akashindwa na Trump.

Fuatilia siasa za duniani. Kama hutojali nitakuwekea nchi nyingi sana wake wa marais na watoto wao waliingia kwenye siasa.

Kaka kama wewe ni mwalimu asilimia kubwa ya watoto wako watakuwa walimu.
 
Kaka, siwaelewi ni kitu gani mnalalamikia.
Je, Salma hafai kuwa mbunge kwa sababu ni mke wa aliyekuwa Rais?

Je, Salma hatakiwi kuwa mgombea pekee kwenye jimbo?

Je, Salma hajiwezi au hafai kuwa mwanasiasa?

Je, Salma hana haki ya kugombea ubunge kwa sababu ni mke wa kikwete?

Tatizo la salma ni nini? Maana hata Dotto Biteko naye alikuwa mgombea pekee.

Siasa ni pamoja na kushawishi wapinzani wako wajiunge na wewe.

Kaka nakushauri uijue siasa. Bill Clinton alikiwa Rais lakini baadae mke wake akawa Secretary wa State na baadae akagombea urais na akashindwa na Trump.

Fuatilia siasa za duniani. Kama hutojali nitakuwekea nchi nyingi sana wake wa marais na watoto wao waliingia kwenye siasa.

Kaka kama wewe ni mwalimu asilimia kubwa ya watoto wako watakuwa walimu.
Hiyo FAMILIA ina TAMAA Kaliiiiiiii Sana.

Possibly, bila Mkapa yawezekana hata ingekatalia IKULU.
 
Venus Star, hivi Ummy ilikuwaje wakamkata, japo kuwa aliongoza kwenye kura za maoni?
Maza ana siasa za visasi na watu wote walio ingia kwenye 18 zake kawalima ikiwamo Gwajima aliyemtaka akatwe mbele ya mkutano mkuu. Kwa data nilizo nazo, Ummy alisikika akisema Maza hatoshi na alikuwa akimback January ndio wakatoa yeye uwaziri, na wamekula tena ubunge.
 
He has visited Rwanda, Ethiopia, Uganda and even Somalia before, sasa ju amekuja Kenya inawauma. Enyewe ndio kwa maana unakanyaga benches na viatu chafu. 🤣 🤣


Here are more events to add to your pain.

Image



Image


Image


Image

View: https://x.com/dube_mthoko/status/1723433278403682556
Maku wivu upi tena,ww kwa ushamba wako ndio umeleta habari za rais wa fifa kuwepo ukidhania labda hajawahi kufika TZ,mimi nilichokifanya ni kukuonesha tu kama alishawahi kufika TZ,na alienda hadi kijiji cha michezo kigamboni,acha ushamba maku,infantino anajua hadi makolo walichezea goli 5 kwa Yanga 😂
 
Maza ana siasa za visasi na watu wote walio ingia kwenye 18 zake kawalima ikiwamo Gwajima aliyemtaka akatwe mbele ya mkutano mkuu. Kwa data nilizo nazo, Ummy alisikika akisema Maza hatoshi na alikuwa akimback January ndio wakatoa yeye uwaziri, na wamekula tena ubunge.
Afrika ni bara la giza,visasi vipo kwa kila anaeweza kulipa kisasi kwa mbaya wake,kwa upande huo maza na magu wapo kundi 1
 
Back
Top Bottom