RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,872
- 129,872
Morogoro road ni kweli haina foleni kabisa. I guess mwendokasi zikiwa effective foleni itapungua.Lakin mawazo yanakuja. Mwendokasi za Phase 2 na phase 3 zikianza zitaondoa foleni.
Maana daladala kibao hazitakuwepo tena, itabaki foleni ndogo ya magari binafsi, bajaji na bodaboda. Bajaji na bodaboda bap zinaweza kupungua ikiwa mwendokasi itasimamiwa vzr.
Angalia Morogoro road, foleni zimebaki pale daladala zinapopakia na kushusha abiria, au pale machinga wanalifanyia kází Barabarani au sehemu zenye ujenzi kama KIMARA. Kwingine hakunaga foleni kiviile. Na hapo mwendokasi inasuasua