Airport Kunyaland ni moja tuu bibi kizee wa Embakasi 😁The busiest Airport. Kisumu international airport iko wapi?
Airport Kunyaland ni moja tuu bibi kizee wa Embakasi 😁The busiest Airport. Kisumu international airport iko wapi?
Na iko busy kwasababu inatumika kama regional hub.Airport Kunyaland ni moja tuu bibi kizee wa Embakasi 😁
Unataka kuanzisha vita humu ndani?Airport Kunyaland ni moja tuu bibi kizee wa Embakasi 😁
Duh hata decent mitaro na kerbs ni shida huko kunyalandchini ya expressway ya mchina njia ambayo wanapita wakenya 99% kwangu pakavu tia mchuzi 😂😂😂😂😂
politicians wao wanapita juu, huwes kua tajiri kenya kama haukp kwenye familia ya politicians never ever mpaka kufa
View attachment 3455536View attachment 3455537View attachment 3455538View attachment 3455539
so ww kwa akili yako unategemea player wa kenya acheze team gani hapo kenya ikiwa mishahara tu hawalipwi 😂😂😂Maplayer wao hawana talent kabisa
Wanzungukia yanga Simba azam tu
alaf imagine ana haki zote sawa na binaadamu utakuta hata driving licence na ID anayo😂😂😂😂😂Huyu Punda anachanja mbuga road nae anaishi mjini Nairobi?
ngamia wanakula wanashiba wanawaacha wakenya na njaa 😂😂😂Huku ni wapi tena! 😂😂😂
View attachment 3455662
panaitwa eastleigh nairobi ile sehemu hua wanapiga picha kwa juu alaf wanawadanganya humu ndani😂😂Hapa wapi?
😂😂😂😂😂😂😂 haya kaka wacha nichomoe sindano 💉💉💉Chairman utaua inatosha 😂😂😂.
Iran iliionea huruma Israel embu tumia busara ya Ayatollah Khamenei basi😂😂.
kuna wakenya wenye haki kama kondoo, mbuzi, ngamia na punda na tena wana ID kabisa unataka wakale wapi kaka😂😂😂Kwan huko hawanaga magari ya Taka?
Barabara zao hazifagiliwi?
Hawa si ndo usema Tz iko 50 years behind them.
Imagine hii sehemu na uzuri wake itafumuliwa upya na kujengwa BRT
View attachment 3455746View attachment 3455747
umaskini kaka hawa jamaa ni maskini wakupindukia 😂😂😂😂 yani kuna gap kubwa sana kati ya politicians na raia wa kawaidaSasa mbn seem zote ni chafu mpk CBD? Kwann hawa wakenya ni wachafu namna hii?
huyu jamaa akifanya uwekezaji basi ni uwekezaji kweli sio maneno mengi kama yule muhindi janja janja😂😂😂😂Naona Bakhresa kaingia kwenye biashara ya cooking oil? Jamaa wa BIDCO wakae Chonjo!
![]()
Bakhresa launches US$100M cooking oil refinery in Malawi, targets 150,000MT soya market - Milling Middle East & Africa Magazine - No.1 Grains Industry Magazine & Website for Africa & the Middle East
The refinery, with a daily crushing capacity of 500 metric tonnes (MT) plans to purchase up soya beans from local producers.millingmea.com
Mwenyekiti sisi tunaomba tu urudi salama. Ukiweza we funga usile wala usinywe chochote. Upo Mazingira hatarishi😂😂😂
Mara unasikia Laizer kapiga billion 20 za Tanzanite mirerani Arusha au jamaa zetu wa Chunya ameuza dhahabu zake na kupata billion 30. Aisee hatufanani na hawa ngombe kabisaIla muda mwingine hata ungekuwa wewe roho ingeuma.
Unaamka asubuhi unasikia bongo kuna mjinga kaiingiza semi 100 , kufikia saa mbili asubuhi unaambiwa kuna meli imeshusha units 117 za yutong buses tu , jion unakuja ambiwa kuna faw bagamoyo wanajenga assembly plant ya 500,000 units kwa mwaka.
Mchana unaambiwa mbona Howo Tanzania inatoa units 30 kwa siku sawa na units 11,000 kwa mwaka wakati Kenya hapo mzalishaji mkubwa anatoa units 600 kwa mwaka yaani Kila siku units mbili🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂Mwenyekiti sisi tunaomba tu urudi salama. Ukiweza we funga usile wala usinywe chochote. Upo Mazingira hatarishi😂😂😂
Cha muhimu zaidi usiache kufinya hizi Pulizo 😂aka Kende au Float switch 😂
View attachment 3456081
Hold on mkuu kabla ya kuchomoa sindano embu turushie current picha za pale Muindi mbingu street hapo city market tuone kidogo 😁😂😂😂😂😂😂😂 haya kaka wacha nichomoe sindano 💉💉💉