Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ulisema you'll prove me wrong. I'm still waiting.
Thika road has sidewalks from Nairobi to Thika. Take that to the bank. Mkipata sidewalks kidogo mnaona ni miujiza. Mnapenda ubishi wa kiujinga.
Siku hiz sibishani kwa maneno. Ni picha tu.
Tena nilikuwa sijaona. Kuwa sidewalks za BRT 3 Zina hadi areas za blind people

Hapa ni Nyerere road, 16km from city center. Na Nyerere road yote Kuanzia city center mpaka Gongo la mboto ni Sidewalks kama hiz.
PXL_20250826_120519080.jpg
PXL_20250826_123548627.MP.jpg
PXL_20250826_123528294.jpg

PXL_20250826_123630843.LONG_EXPOSURE-01.COVER.jpg

PXL_20250826_124057959.jpg
 

Attachments

  • PXL_20250826_120519080.jpg
    PXL_20250826_120519080.jpg
    546.7 KB · Views: 12
Hawa jamaa ni vichaa wallahi, kitu kikijengwa na fundi mkenya lazima kichekeshe. Ona huu ushuzi, gari inabidi ipande tuta ndiyo iendelee, na kulikuwa hakuna ulazima wowote wa kuweka lane mbili kwenye ka road kembamba kama slice ya mkate👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 3455269
Jua kali style hiyo 😃
 
Tuambia hapa sidewalks ziko juu ama chini 😁
Jiangalilie ujieleze
Hawa jamaa ni vichaa wallahi, kitu kikijengwa na fundi mkenya lazima kichekeshe. Ona huu ushuzi, gari inabidi ipande tuta ndiyo iendelee, na kulikuwa hakuna ulazima wowote wa kuweka lane mbili kwenye ka road kembamba kama slice ya mkate👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 3455269

Hii ni desperation gani?
You are posting photos of Thika road under construction?
 
Siku hiz sibishani kwa maneno. Ni picha tu.
Tena nilikuwa sijaona. Kuwa sidewalks za BRT 3 Zina hadi areas za blind people

Hapa ni Nyerere road, 16km from city center. Na Nyerere road yote Kuanzia city center mpaka Gongo la mboto ni Sidewalks kama hiz.
View attachment 3455609View attachment 3455611View attachment 3455615
View attachment 3455632
View attachment 3455634
Hii design ndio wangefanya hata first phase na second phase pia. Sema second phase wamezingua sana.
 
Maplayer wao hawana talent kabisa
Wanzungukia yanga Simba azam tu
Hizo timu zinalipa vizuri.
Kenya hamuna striker kama Clement Mzize.
Clement Mzize ametakiwa na timu ya Qatar,Morocco na Tunisia.
Akachagua kubaki Yanga kwa kuahidiwa kulipwa 45 millions Tzs ambayo sawa na 2.25 millions ksh.
Je Kenya mna ubavu wa kumlipa mchezaji mzawa 2.25 millions ksh!?
TZ Ina vipaji vingi sana kijana.
 
Hii design ndio wangefanya hata first phase na second phase pia. Sema second phase wamezingua sana.
Ile second phase lazima Kuna ufisadi ulifanywa pale. Ni suala la Muda tu,watawajibishwa.
But anyway finishing yao sio mbaya, japo maintenance toka imeisha imewashinda DART, sasa ndo wanaanza kurepair.
Ngoja tuone jtatu kama wataanza BRT 2 kama walivyosema
 
Back
Top Bottom