President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,766
- 89,791
Kuna mmoja Nimecheka sana anaitwa Pamela walikuwa kwenye mahojinano na Aisha Feruzy Mtanzania
Pamela Mkenya: I do know swahili, I talk english
Leo nimecheka sana
Kuna mmoja Nimecheka sana anaitwa Pamela walikuwa kwenye mahojinano na Aisha Feruzy Mtanzania
Baada ya CHAN sasa wameanza kupagawa, Bandari ni timu ndogo sana lakini utaona vile watahema kuifunga.
View: https://x.com/EricNdagije250/status/1959933195266228413?t=6VXZDe0XQVLq7etvI96NEA&s=19
Wanafiki wako hivi siku zote! Hufikiri Dunia hujizungusha ikiwazunguka!Sijui nasisi tuandamane kuwa tunataka kuzuiwaView attachment 3454526 š¤£š¤£š¤£š¤£
ššRuto amegundua hawa wasenge hawana shughuli za kufanya, ameanzisha Kombe la Mbuzi.
View attachment 3454781
Yaani hawa nyang'au mpaka leo hii bado tu wanasumbuliwa na ukoloni mamboleo? Kazi ipoš...Pamela Mkenya: I do know swahili, I talk english
Leo nimecheka sana
Embu songaa peleka upumbavu huko.That is an underpass you idiot, the sidewalk is on the upper side. Those people are jaywalking. The amount of foolishness in you people keeps hitting new lows. Hiyo video imechukuliwa hapo kwa blue arrow. The sidewalk iko pale kwa red arrows. Mmepata sidewalks juzi mnaona ni miujiza. kha! Mnachosha.
View attachment 3454605
We measure from Dar and Nairobi cause those are two major anchor cities for Tz and Ke ambapo maendeleo yako mengi compared to other cities. I could also measure from Mtwara to Bukoba 1,967km if you prefer that way.Why are you measuring from Dar while in Kenya you measure from Nairobi? Wacha nikupe 1000km from Mombasa. Hii hapa.
![]()
Hapo kaka ni 182km tuu from CBD ya Naipori š¤£š¤£š¤£Hapa sio Mars aka Red Planet ? š
Hao wanatafuta kiki tuu za ku jumpstart their football maana imekufa chaliNi ujinga sana. Just imagine, wanata tuanze kishindana kuja uwaja wa football, wakati tiketi zao zote za kuingia uwanjani zimelipiwa na Ruto.
Yaani wanapendelea trivial issues. Ukiwaambia tushindane development huwaoni wanaishia mitini.
Kenya is already dead
Tuambia hapa sidewalks ziko juu ama chini šOn top of that, he brought a video of maandamano day, when the roads are literally closed.
These people have an incredibly concerning low IQ. š š
Hii ndo ile road ya kwenda Ethiopia ?
Aisee Huyu alikuwa awe Mbunge!