Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Barabara imepauka balaa
Hawa jamaa ni vichaa wallahi, kitu kikijengwa na fundi mkenya lazima kichekeshe. Ona huu ushuzi, gari inabidi ipande tuta ndiyo iendelee, na kulikuwa hakuna ulazima wowote wa kuweka lane mbili kwenye ka road kembamba kama slice ya mkate👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20250827_200805.jpg
 
Watchman, Simba na Yanga wameomba friendly na timu za Kenya ili wadandie wave yetu ya CHAN kuchangamsha hio ligi yenu bila mashabiki
Hakuna hyo nafasi itapata timu ya Kenya kucheza na Simba au Yanga. Gor Mahia iliomba mechi ya kirafiki kwa kuialika Yanga tangu mwaka jana lkn offer ilikataliwa cz budget yenu ndogo, Yanga ikakubali offer ya SA na ikabeba kombe. Mwaka huu wakaja tena na budget yao ndogo ikakataliwa tena, Yanga ikaenda Rwanda walio serious, pia imebeba kombe. Kwa ss timu za Tanzania zinapewa mialiko, Yanga, Azam, singida black stars zote zimealikwa.

Cha kuzingatia ni kwamba ukiialika timu ya Tanzania uwe na pesa sio pesa za kulenga kama timu za kenya.
 
Back
Top Bottom