Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Desperation ya tanzakundus hunifurahisha sana, Thika road ina service lanes, bicycle lanes na side walks next to it. Hapo chini ya flyover ni main highway sio service lane. Anyway tunaelewa hamjui service lanes ni nini.
Anavyoongea unaweza kudhani anaongelea road fulani hv ya China au US, kumbe thika jua kali highway 👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20250827_195935_Google.jpg
 
Tanzakundus ni washamba sana bana. 🤣 🤣 🤣 Mtu anataka sidewalks chini ya flyover, next watatuonyesha picha za underpass za Thika rd eti hakuna sidewalks huko ndani. Ushamba ni mbaya.
Sasa si uoneshe hiyo sidewalk iko wapi? Shida nini kwn, nani atapenda ku risk maisha yake wkt alternative ipo?
 
Wanadhani wakiweka bifu na Tz basi soka lao litainuka na kuwa Sawa na la Tz🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Watchman, Simba na Yanga wameomba friendly na timu za Kenya ili wadandie wave yetu ya CHAN kuchangamsha hio ligi yenu bila mashabiki
 
Barabara imepauka balaa
Hawa jamaa ni vichaa wallahi, kitu kikijengwa na fundi mkenya lazima kichekeshe. Ona huu ushuzi, gari inabidi ipande tuta ndiyo iendelee, na kulikuwa hakuna ulazima wowote wa kuweka lane mbili kwenye ka road kembamba kama slice ya mkate👇👇🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20250827_200805.jpg
 
Watchman, Simba na Yanga wameomba friendly na timu za Kenya ili wadandie wave yetu ya CHAN kuchangamsha hio ligi yenu bila mashabiki
Hakuna hyo nafasi itapata timu ya Kenya kucheza na Simba au Yanga. Gor Mahia iliomba mechi ya kirafiki kwa kuialika Yanga tangu mwaka jana lkn offer ilikataliwa cz budget yenu ndogo, Yanga ikakubali offer ya SA na ikabeba kombe. Mwaka huu wakaja tena na budget yao ndogo ikakataliwa tena, Yanga ikaenda Rwanda walio serious, pia imebeba kombe. Kwa ss timu za Tanzania zinapewa mialiko, Yanga, Azam, singida black stars zote zimealikwa.

Cha kuzingatia ni kwamba ukiialika timu ya Tanzania uwe na pesa sio pesa za kulenga kama timu za kenya.
 
Back
Top Bottom