Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

DSM
IMG_0478.jpeg
IMG_0460.jpeg
IMG_0466.jpeg
 
Yes hata Mimi niliwashangaa kujenga daraja badala ya intacharnge.
Pale hakuna shida ya foleni, ipo shida ya mafuriko mkuu, mvua zikiwa nyingi maji yanajaaga kupita maelezo.. 👇🏾
IMG_0698.jpeg
eneo hili linahitaji daraja na si interchange.. ukijenga interchange hapo ni sawa na umeletewa mgonjwa anaehitaji kufanyiwa upasuaji wa kichwa, halafu wewe ukamfanyia upasuaji wa goti..

Eleveted road is the only true solution.
 
Pale hakuna shida ya foleni, ipo shida ya mafuriko mkuu, mvua zikiwa nyingi maji yanajaaga kupita maelezo.. 👇🏾View attachment 3452297eneo hili linahitaji daraja na si interchange.. ukijenga interchange hapo ni sawa na umeletewa mgonjwa anaehitaji kufanyiwa upasuaji wa kichwa, halafu wewe ukamfanyia upasuaji wa goti..

Eleveted road is the only true solution.
Screenshot_20250825_114831_Chrome.jpg
Screenshot_20250825_114743_Chrome.jpg
 
Pale hakuna shida ya foleni, ipo shida ya mafuriko mkuu, mvua zikiwa nyingi maji yanajaaga kupita maelezo.. 👇🏾View attachment 3452297eneo hili linahitaji daraja na si interchange.. ukijenga interchange hapo ni sawa na umeletewa mgonjwa anaehitaji kufanyiwa upasuaji wa kichwa, halafu wewe ukamfanyia upasuaji wa goti..

Eleveted road is the only true solution.
Gari zinazotoka Morocco zingepita juu hadi ilala au keko. Gari zinazotoka posta via fire zingepita juu hadi manzese arafu chini ukawa na barabara zingine.
 
Pale hakuna shida ya foleni, ipo shida ya mafuriko mkuu, mvua zikiwa nyingi maji yanajaaga kupita maelezo.. 👇🏾View attachment 3452297eneo hili linahitaji daraja na si interchange.. ukijenga interchange hapo ni sawa na umeletewa mgonjwa anaehitaji kufanyiwa upasuaji wa kichwa, halafu wewe ukamfanyia upasuaji wa goti..

Eleveted road is the only true solution.
Interchange Inaweza ongeza mafuriko
 
Eleweka wanajenga panapo hitajika au ili mradi wanajenga itakuwa ni matumizi mabaya ya fedha za umma na upigaji maake huezi niambia unaenda kujenga flyover kigoma na mahitaji yao siyo flyover kila nchi ina vipaombele vyake usirudie ujinga kama huo tena hapa
Oya unawaonyesha wakenya huu uchafu? Nilikuwa Naivasha mwezi jana hii sio story kwao wanajenga flyovers hadi mikoani ambazo dar tu hakuna.

Nairobi express way itakuja bongo after two centuries
 
Oya unawaonyesha wakenya huu uchafu? Nilikuwa Naivasha mwezi jana hii sio story kwao wanajenga flyovers hadi mikoani ambazo dar tu hakuna.

Nairobi express way itakuja bongo after two centuries
Flyovwr ni kutatua foleni au mambo ya ufahari??

Unaijua vizuri hiyo Expressway??

Unakuja kwanini ipo pale, na inamilikiwa na nani?

Unataka ijegwe kama urembo??
 
Back
Top Bottom