Traveller D
JF-Expert Member
- Jul 11, 2025
- 498
- 2,187
DSM
Yes hata Mimi niliwashangaa kujenga daraja badala ya intacharnge.Jangwani pale serikali inaenda kutukosea sisi na vizazi vyetu vijavyo,pale apapaswi kujengwa daraja kama la wami huko vichakani,mjini kama pale panahitaji,interchange ya maana,viongozi wetu wanatuletea ujima pale
Pale hakuna shida ya foleni, ipo shida ya mafuriko mkuu, mvua zikiwa nyingi maji yanajaaga kupita maelezo.. 👇🏾Yes hata Mimi niliwashangaa kujenga daraja badala ya intacharnge.
Yes hata Mimi niliwashangaa kujenga daraja badala ya intacharnge.
Kat mbwe huko,ndio unazidi kujidhihirisha ww ni kunyan,maku wwUnapumuliwa ngoli
Pale hakuna shida ya foleni, ipo shida ya mafuriko mkuu, mvua zikiwa nyingi maji yanajaaga kupita maelezo.. 👇🏾View attachment 3452297eneo hili linahitaji daraja na si interchange.. ukijenga interchange hapo ni sawa na umeletewa mgonjwa anaehitaji kufanyiwa upasuaji wa kichwa, halafu wewe ukamfanyia upasuaji wa goti..
Eleveted road is the only true solution.
imagine hii ni barabara kabisa 😂😂😂
mambo kwa ground
View: https://x.com/ogetembe/status/1959309151470760187?s=46
View attachment 3451164View attachment 3451165View attachment 3451166View attachment 3451167
Gari zinazotoka Morocco zingepita juu hadi ilala au keko. Gari zinazotoka posta via fire zingepita juu hadi manzese arafu chini ukawa na barabara zingine.Pale hakuna shida ya foleni, ipo shida ya mafuriko mkuu, mvua zikiwa nyingi maji yanajaaga kupita maelezo.. 👇🏾View attachment 3452297eneo hili linahitaji daraja na si interchange.. ukijenga interchange hapo ni sawa na umeletewa mgonjwa anaehitaji kufanyiwa upasuaji wa kichwa, halafu wewe ukamfanyia upasuaji wa goti..
Eleveted road is the only true solution.
Kama mambo iko hivi ikitokea vita itakuaje?😂😂😂😂😂😂 hawa ndio kutwa wanapanua makalio yao kushindana na dar
View attachment 3451200View attachment 3451201View attachment 3451202View attachment 3451203View attachment 3451204View attachment 3451205
View attachment 3451229View attachment 3451230View attachment 3451231
Interchange Inaweza ongeza mafurikoPale hakuna shida ya foleni, ipo shida ya mafuriko mkuu, mvua zikiwa nyingi maji yanajaaga kupita maelezo.. 👇🏾View attachment 3452297eneo hili linahitaji daraja na si interchange.. ukijenga interchange hapo ni sawa na umeletewa mgonjwa anaehitaji kufanyiwa upasuaji wa kichwa, halafu wewe ukamfanyia upasuaji wa goti..
Eleveted road is the only true solution.
😄 haya sawa.Gari zinazotoka Morocco zingepita juu hadi ilala au keko. Gari zinazotoka posta via fire zingepita juu hadi manzese arafu chini ukawa na barabara zingine.
Hizi zote in the near future zitakuwa kama project houses in US.Kisumu housing project.
This is called Lumumba affordable housing.
View attachment 3450500
Anderson Affordable Housing
View attachment 3450537
Mnarushiana uchafu.Kama mambo iko hivi ikitokea vita itakuaje?
Yes 20 x 20 inakaa single family in Tanzania ila kwenu hiyo wanakaa 10 families nani anaafadhali hapo?Wacheni kujenga kiholela kama panya, mtu anajenga kwa plot ya 20 by 20. 🤣 🤣 🤣
Zitakuwa slums kama pipelineHizi zote in the near future zitakuwa kama project houses in US.
Oya unawaonyesha wakenya huu uchafu? Nilikuwa Naivasha mwezi jana hii sio story kwao wanajenga flyovers hadi mikoani ambazo dar tu hakuna.
Nairobi express way itakuja bongo after two centuries
Flyovwr ni kutatua foleni au mambo ya ufahari??Oya unawaonyesha wakenya huu uchafu? Nilikuwa Naivasha mwezi jana hii sio story kwao wanajenga flyovers hadi mikoani ambazo dar tu hakuna.
Nairobi express way itakuja bongo after two centuries