Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

As if hapo kwenu hazipo. 🤣 🤣 🤣
Kwanza nyie ndio magwiji wa Bajaj Ambulance.

bajaji+ambulance7.jpg
bajaji+ambulance1.jpg
bajaji+ambulance5.jpg
WTF is this?
 
Ambulances in Mwanza.
Pole unajitahidi kujilinganisha na lamu yenu, hiyo ilikuwa mafundi wa mwanza miaka ya 2014 walijaribu kutengeneza lakini hazijuwahi ingizwa kazini tofauti na za lamu ambazo zimezinduliwa juzi tu
Na umeikota hapa
chrome_screenshot_Aug 25, 2025 1_10_56 PM GMT+03_00.png

Hakuna hata charter ya hospitali wala kituo chochote 🤣🤣🤣🤣
 
Acha upumbavu hakuna vitu kama hivi Tanzania. Ivi unazijua vizuri sheria zetu za usafirishaji kweli wewe ama unaleta mzaha tuu hapa. Hiyo kitu haipiti barabara za TZ
Ameokota picha tu hajui hata source ya habari , issue ya mwaka 2014 ilikuwa mafundi wa mtaani tu walizitengeneza na hazikuwahi ingia matumizini tofauti na zao ziko mahospitalini kabisa🤣🤣🤣🤣
 
This, too, is merely an individual’s makeshift invention—one that was neither ever sold nor granted approval to operate, Mbilikimo.
Wacha upumbavu wakati Moi anazindua hiyo BJ50 under Nyayo cars ulikuwa hujazaliwa wewe. It was a national invention and pride then na sio individual invention as you put it.
 
Wewe ni kuropokwa tu, GNI, HDI, na hata GDP per Capita zote zikona maps to summarize the data. Hakuna hata map moja umepost ni kelele tu kama chiriku. Wewe pumbavu unataka kubishana na data za wataalamu na umbea za articles unaokota online.

Gross national income (GNI) per capita - Our World in Data


Human Development Index - Our World in Data


GDP per capita - Our World in Data
Now lets us come to the reality on the ground
1756116970795.png

1756117008286.png

More than 60% of residents in the wealthiest county in GDP terms (Nairobi) live in slums despite hizo rosy tarakimu za karatasi
 
Back
Top Bottom