buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
WTF is this?As if hapo kwenu hazipo. 🤣 🤣 🤣
Kwanza nyie ndio magwiji wa Bajaj Ambulance.
![]()
![]()
![]()
WTF is this?As if hapo kwenu hazipo. 🤣 🤣 🤣
Kwanza nyie ndio magwiji wa Bajaj Ambulance.
![]()
![]()
![]()
KFC has opened their 6th branch in Eastlands. After Donholm definitely Komarocks will be next.
View: https://x.com/KFCinKenya/status/1957784454170087732
Ambulances in Mwanza.WTF is this?
This was back in 2005, and the project failed.As if hapo kwenu hazipo. 🤣 🤣 🤣
Kwanza nyie ndio magwiji wa Bajaj Ambulance.
![]()
![]()
![]()
Kivipi?Interchange Inaweza ongeza mafuriko
Acha upumbavu hakuna vitu kama hivi Tanzania. Ivi unazijua vizuri sheria zetu za usafirishaji kweli wewe ama unaleta mzaha tuu hapa. Hiyo kitu haipiti barabara za TZAs if hapo kwenu hazipo. 🤣 🤣 🤣
Kwanza nyie ndio magwiji wa Bajaj Ambulance.
![]()
![]()
![]()
Pole unajitahidi kujilinganisha na lamu yenu, hiyo ilikuwa mafundi wa mwanza miaka ya 2014 walijaribu kutengeneza lakini hazijuwahi ingizwa kazini tofauti na za lamu ambazo zimezinduliwa juzi tuAmbulances in Mwanza.
Ameokota picha tu hajui hata source ya habari , issue ya mwaka 2014 ilikuwa mafundi wa mtaani tu walizitengeneza na hazikuwahi ingia matumizini tofauti na zao ziko mahospitalini kabisa🤣🤣🤣🤣Acha upumbavu hakuna vitu kama hivi Tanzania. Ivi unazijua vizuri sheria zetu za usafirishaji kweli wewe ama unaleta mzaha tuu hapa. Hiyo kitu haipiti barabara za TZ
Wacha upumbavu wakati Moi anazindua hiyo BJ50 under Nyayo cars ulikuwa hujazaliwa wewe. It was a national invention and pride then na sio individual invention as you put it.This, too, is merely an individual’s makeshift invention—one that was neither ever sold nor granted approval to operate, Mbilikimo.
Haikukidhi viwango vya kuingiza matumizini ,🤣🤣🤣This was back in 2005, and the project failed.
Zipo ila watu walishachomoa Trailer, wanazitumia kama pikipiki tu.Haikukidhi viwango vya kuingiza matumizini ,🤣🤣🤣
So itabidi utengeneze njia kadhaa za juuu na chini ambayo Inaweza pelekea kukawa mzuio wa maji tofauti na daraja , kumbuka mto msimbazi ukarabatiwa woteKivipi?
Kwamba zipo kama ambulance au kama pikipiki?Zipo ila watu walishachomoa Trailer, wanazitumia kama pikipiki tu.
Hakuna ambulance ya pikipikiKwamba zipo kama ambulance au kama pikipiki?
Now lets us come to the reality on the groundWewe ni kuropokwa tu, GNI, HDI, na hata GDP per Capita zote zikona maps to summarize the data. Hakuna hata map moja umepost ni kelele tu kama chiriku. Wewe pumbavu unataka kubishana na data za wataalamu na umbea za articles unaokota online.
![]()
![]()
![]()