Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kisumu housing project.

This is called Lumumba affordable housing.
1755975793681.jpeg


Anderson Affordable Housing

1755976737102.jpeg
 
🤣 🤣 🤣 Watu wa informal economy hata hosting ya CHAN pekee ilishawaexpose.


View: https://x.com/NchiYanguNzuri/status/1959202629709664502

Kumlipa kocha tu ilikuwa mtihani, mmejaza kauwanja kwenye hivi vimashindanl mnaona mmefikia.
chrome_screenshot_Aug 23, 2025 10_34_11 PM GMT+03_00.png

Hayo mnayoshangilia leo kutoza 200 tushayafanya 12 years back na bado hata hatujisifii sababu ni pesa ndo sana.
The highest amount ya makusanyo ilikuwa ni more than 25mil ksh .
Kiasi ambacho mpaka sasa hamjawahi ota hat kupata
chrome_screenshot_Aug 23, 2025 10_39_56 PM GMT+03_00.png

chrome_screenshot_Aug 23, 2025 10_34_11 PM GMT+03_00.png
 
Weka statistics wa the highest revenue mliyowahi kusanya kwa mechi yoyote Kenya iliyowahi vuka ksh 10mil?
Attendance ya mara moja isiwavuruge mnarudi kwenye ligi zenu ambayo hata kocha kulipwa mshahara itabidi asubiri miezi miwili 🤣🤣🤣🤣
Unataka kucompare CHAN a one month tournament na hizo michezo zenu za mara mbili kwa mwaka. 🤣 🤣 🤣 CHAN imewashinda, sasa AFCON ndio mutaweza?
 
Kumlipa kocha tu ilikuwa mtihani, mmejaza kauwanja kwenye hivi vimashindanl mnaona mmefikia.
View attachment 3450610
Hayo mnayoshangilia leo kutoza 200 tushayafanya 12 years back na bado hata hatujisifii sababu ni pesa ndo sana.
The highest amount ya makusanyo ilikuwa ni more than 25mil ksh .
Kiasi ambacho mpaka sasa hamjawahi ota hat kupata
View attachment 3450616
View attachment 3450610

Thanks for sharing old news, hii FKF ya Nick Mwendwa iliisha kitambo sana. Pole sana. 🤣 🤣 🤣 We have a new federation in office.
 
Unataka kucompare CHAN a one month tournament na hizo michezo zenu za mara mbili kwa mwaka. 🤣 🤣 🤣 CHAN imewashinda, sasa AFCON ndio mutaweza?
Umeona mfano wa uwanja unavyojazwaga Jana?
Hiyo ilikuwa sample tu, kabla ya hapo hakukuwa na marketing yoyote ya michezo hiyo . Kipimo ni wewe kutuletea revenue collection ya above 10mil ksh ili tuone kama mnaweza hata kufikia level za Tanzania.
Nyinyi bado sana kama kocha tu miezi tisa mlikiwa mnashindwa kumlipa
 
Thanks for sharing old news, hii FKF ya Nick Mwendwa iliisha kitambo sana. Pole sana. 🤣 🤣 🤣 We have a new federation in office.
Huku umefika lini kwanza 20mil ksh kwa mechi moja hiyo ni mwaka 2023
Hata hizo mechi zote za chan mwaka huu kwenu hakuna iliyofikisha this amount
 
Huku umefika lini kwanza 20mil ksh kwa mechi moja hiyo ni mwaka 2023
Hata hizo mechi zote za chan mwaka huu kwenu hakuna iliyofikisha this amount
Mapato ya CHAN yako wapi, CAF wanataka kujua if you are capable of hosting a 1 month tournament. Tulishaona you failed terribly hata mumeshindwa na UG. 🤣🤣🤣
 
Mapato ya CHAN yako wapi, CAF wanataka kujua if you are capable of hosting a 1 month tournament. Tulishaona you failed terribly hata mumeshindwa na UG. 🤣🤣🤣
Mapato ya ligi yako wapi kwanza ? Kiasi kikubwa mlichowahi ingiza ni 7mil ksh yaan 140mil tsh ambayo haifiki hata nusu ya mapato ya taifa stars versus morocco kwa miaka yote tunapokutana nao🤣
 
Back
Top Bottom