Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Made in Tanzania Wine by Central Tanzania Wine Company (CETAWICO)​


1756105470857.png



Wakenya wanaumia
 
haya chan imeisha sasa tumeingia habari ya SHA 😂😂😂😂😂😂

View: https://x.com/brenda_ogo30333/status/1959677197943472457?s=46


kenya harambee star wamepata 56m ksh from CHAN quater final stage as a prize
sasa tujiulize ruto alitumie pesa ngap ya taxpayers kuwapa wachezaji wa harambee stars na bench la ufundi kwa ujumla, alijenga au alibomoa?

mimi nina wasiwasi wakenya wengi kichwani moto ni mdogo sana 😂😂🙌🏻
 
😂😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
tumesahau zile pesa zote za taxpayers alizokua anawapa harambee stars
IMG_7983.jpeg
 
Oya unawaonyesha wakenya huu uchafu? Nilikuwa Naivasha mwezi jana hii sio story kwao wanajenga flyovers hadi mikoani ambazo dar tu hakuna.

Nairobi express way itakuja bongo after two centuries
Unajenga flyover ila unashindwa safisha mji huo si ujinga?
Au unajenga flyover badala ya kujenga vyanzo vya umeme kuliko kutegemea umeme kutoka kwa majirani mpaka bei inakuwa mara tatu ya majirani zako, miradi mingi Kenya haina umuhimu kwa raia wa kawaida bali ni kujimwambafai .
 
Back
Top Bottom