Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😂😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
tumesahau zile pesa zote za taxpayers alizokua anawapa harambee stars
IMG_7983.jpeg
 
Oya unawaonyesha wakenya huu uchafu? Nilikuwa Naivasha mwezi jana hii sio story kwao wanajenga flyovers hadi mikoani ambazo dar tu hakuna.

Nairobi express way itakuja bongo after two centuries
Unajenga flyover ila unashindwa safisha mji huo si ujinga?
Au unajenga flyover badala ya kujenga vyanzo vya umeme kuliko kutegemea umeme kutoka kwa majirani mpaka bei inakuwa mara tatu ya majirani zako, miradi mingi Kenya haina umuhimu kwa raia wa kawaida bali ni kujimwambafai .
 
Yes hata Mimi niliwashangaa kujenga daraja badala ya intacharnge.
Pale hakuna shida ya foleni, ipo shida ya mafuriko mkuu, mvua zikiwa nyingi maji yanajaaga kupita maelezo.. 👇🏾
IMG_0698.jpeg
eneo hili linahitaji daraja na si interchange.. ukijenga interchange hapo ni sawa na umeletewa mgonjwa anaehitaji kufanyiwa upasuaji wa kichwa, halafu wewe ukamfanyia upasuaji wa goti..

Eleveted road is the only true solution.
 
Pale hakuna shida ya foleni, ipo shida ya mafuriko mkuu, mvua zikiwa nyingi maji yanajaaga kupita maelezo.. 👇🏾View attachment 3452297eneo hili linahitaji daraja na si interchange.. ukijenga interchange hapo ni sawa na umeletewa mgonjwa anaehitaji kufanyiwa upasuaji wa kichwa, halafu wewe ukamfanyia upasuaji wa goti..

Eleveted road is the only true solution.
Screenshot_20250825_114831_Chrome.jpg
Screenshot_20250825_114743_Chrome.jpg
 
Pale hakuna shida ya foleni, ipo shida ya mafuriko mkuu, mvua zikiwa nyingi maji yanajaaga kupita maelezo.. 👇🏾View attachment 3452297eneo hili linahitaji daraja na si interchange.. ukijenga interchange hapo ni sawa na umeletewa mgonjwa anaehitaji kufanyiwa upasuaji wa kichwa, halafu wewe ukamfanyia upasuaji wa goti..

Eleveted road is the only true solution.
Gari zinazotoka Morocco zingepita juu hadi ilala au keko. Gari zinazotoka posta via fire zingepita juu hadi manzese arafu chini ukawa na barabara zingine.
 
Back
Top Bottom