President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,766
- 89,791
We fala mwezi jana sio kiswahili cha TZ,baki kwenu huko huko machafu chafuOya unawaonyesha wakenya huu uchafu? Nilikuwa Naivasha mwezi jana hii sio story kwao wanajenga flyovers hadi mikoani ambazo dar tu hakuna.
Nairobi express way itakuja bongo after two centuries
yani ningekua mm nisingeonesha hii slum mpya kabisa so kuna slum inaitwa thika bustani na kweli ni bustani ya motoni hii😂🙌🏻Thika Bustani Affordable Housing
View attachment 3452213
View attachment 3452216
View attachment 3452217
Unapumuliwa ngoliWe fala mwezi jana sio kiswahili cha TZ,baki kwenu huko huko machafu chafu
Itoke wapiwaambie wakuoneshe a three level interchange kama hio wakikuonesha naomba unitag 😂😂😂😂😂
Kwa maelezo pale panaonekana patakuwa ni SEPARATE PROJECT kabisa.Jangwani pale serikali inaenda kutukosea sisi na vizazi vyetu vijavyo,pale apapaswi kujengwa daraja kama la wami huko vichakani,mjini kama pale panahitaji,interchange ya maana,viongozi wetu wanatuletea ujima pale
Itoke wapi
Nasikia Kenya treni ya umeme ilikuwa two centuries ago.Oya unawaonyesha wakenya huu uchafu? Nilikuwa Naivasha mwezi jana hii sio story kwao wanajenga flyovers hadi mikoani ambazo dar tu hakuna.
Nairobi express way itakuja bongo after two centuries
Unajenga flyover ila unashindwa safisha mji huo si ujinga?Oya unawaonyesha wakenya huu uchafu? Nilikuwa Naivasha mwezi jana hii sio story kwao wanajenga flyovers hadi mikoani ambazo dar tu hakuna.
Nairobi express way itakuja bongo after two centuries