Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lile eneo sasa hivi la Moto Sana, Wakati Mkuki mall inapigwa Brush upya na kuja na Pandain Mall, Home City kaamua kuja kuzuia watu Gomz, kitunda etchuiu Quality Center. Kuna booming flani ya aina hii ya masoko yanachipuka kila kona halafu bei sawa na Kariakoo au chini zaidi. Sasa hivi kuna Home city tayari ana Maduka matatu ( Mlimani City, Palm Village, na Sasa Quality center, pia Kuna Happygo shopping pale Dar Village, Kuna Home Markert Mbezi African, Kuna City Store Mikocheni.
Malls ni tafsiri ya kukua kwa middleclass
 
I can’t help to notice Wabongo have gone Mteja about CHAN since the quarter finals schedule was released. Ni kama hakuna CHAN Kwao. I wonder why…🤣🤣🤣🤣🤣
 
Lile eneo sasa hivi la Moto Sana, Wakati Mkuki mall inapigwa Brush upya na kuja na Pandain Mall, Home City kaamua kuja kuzuia watu Gomz, kitunda etchuiu Quality Center. Kuna booming flani ya aina hii ya masoko yanachipuka kila kona halafu bei sawa na Kariakoo au chini zaidi. Sasa hivi kuna Home city tayari ana Maduka matatu ( Mlimani City, Palm Village, na Sasa Quality center, pia Kuna Happygo shopping pale Dar Village, Kuna Home Markert Mbezi African, Kuna City Store Mikocheni.
Mkuki mall ilinisikitisha sana.
 
Kabla hii tournament ianze watu walijipiga kifua
Lakini sasa ni aibu mechi baada ya mechi
 
Tiwagesi aliwahi kusema mizigo itakuwa inapitia mombasa ndiyo inakuja kwetu vp kuna mzigo wowote ulishawahi kupitia kundurenda

Screenshot_20250719-223530.png
 
Back
Top Bottom