ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Mkuki mall ilinisikitisha sana.Lile eneo sasa hivi la Moto Sana, Wakati Mkuki mall inapigwa Brush upya na kuja na Pandain Mall, Home City kaamua kuja kuzuia watu Gomz, kitunda etchuiu Quality Center. Kuna booming flani ya aina hii ya masoko yanachipuka kila kona halafu bei sawa na Kariakoo au chini zaidi. Sasa hivi kuna Home city tayari ana Maduka matatu ( Mlimani City, Palm Village, na Sasa Quality center, pia Kuna Happygo shopping pale Dar Village, Kuna Home Markert Mbezi African, Kuna City Store Mikocheni.
You will never know. A 'rift' between TFF and sports and culture ministry caused all this BS.I can’t help to notice Wabongo have gone Mteja about CHAN since the quarter finals schedule was released. Ni kama hakuna CHAN Kwao. I wonder why…🤣🤣🤣🤣🤣
Sijawahi kusikia Kenya wana vision
kilifi just 20 km from mombasa CBD hali ndio hiii
View: https://x.com/sholard_mancity/status/1957689480984608809?s=46
Ilikuwepo Vision 2030 enzi hizo tupo SSC ilikua hatulali mkuu, Ikaja na issue nyingine ya HUB 😂, Halafu COW , Mammmae sasa hivi wamesahau kila kitu wanatembelea Kichwa😂.Sijawahi kusikia Kenya wana vision
Nilijua Tu kama kuna madudu, na mimi nawalaumu Karia na genge lake, siamini kabisa kama msigwa na mwana FA walishindwa kupiga promo ya kutosha. Huyu lazima ni Karia tu!!You will never know. A 'rift' between TFF and sports and culture ministry caused all this BS.
Football politics. We gonna learn from this. Won't happen again. At least we got a second chance, AFCON proper.Bongo Yote is empty for tonight's decisive matches. Tanzanian fans attendance have let down East Africa in this tournamentView attachment 3446606View attachment 3446607
TZ ina production ya zaidi ya 4000MW za umeme kwa sasa.
Ila kuna projects nyingi za umeme zinaendelea za Maji, Jua na Georthermal.
Sisi hatuna shida, Kenya wameshafanikowa kwenye Geothermal lazima tuje kufanya benchmarking.
Nadhani hata KETRACO ilipewa tender ya kusaidia -drilling project yetu ya Geothermal, Ngozi.
View: https://youtu.be/fl5nDqxoC4Q?si=EDV3B01lxFcTS8Fh
I respect ur true observation .. my major concern is if fans couldn’t make it in stadiums in the middle of the cities, what gonna happen to Arusha which is in Serengeti. You better have a plan B for AFCON..Football politics. We gonna learn from this. Won't happen again. At least we got a second chance, AFCON proper.