Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The great difference between Kenya na TZ , is Uoga hauko kwa Wakenya . TZ got a thousand more poverty problems but they won’t dare highlight it for fear of CCM retaliation. But Kenyans will shame even their President. So Wabongo enjoy exposing Kenya’s freedom of expression, something you only see on Kenyan tvs or social media ..😁😁
Kutokua waoga kumeondoa slums,kumeondoa njaa,mngese huko kwenu kunaongoza kwa jobless east africa nzima
 

View: https://www.instagram.com/p/DNhyN_ZNygD/?img_index=1&igsh=MnQxMjE0MTRucDBh
Screenshot_20250819-201304.jpg
 
Hawaju waanze na mradi upi na wamalizie upi
walijaribu kila aina ya project lakini wapi waliishia kuliwa pesa zao tu sijui BRT wakapaka listick thika, sijui wakaja na ndoto ya tram ikaishia kwa hewa, mara railway city 😂😂😂😂😂😂😂

yani nje ya nairobi hakuna project ya maana ya kusema wanaendeleza nchi never zaidi ya vi appartment vya ruto anavowadanganya navo huku wamiliki wakuu ni politicians na hapo ndio utaona ajabu ya hawa punda yani hawana hata fikra ya kufkiri kua wanarudi nyuma baada ya kwenda mbele

hio talanta yenyewe ni mradi wa PPP kutoka china maana yake still mchina atakua mmiliki kama vile nairobi expressway ambayo mpaka leo haijaonesha mwanga kama itarudisha pesa within 30 good years 😂😂😂😂

sasa ikiwa 696km sq area ya nairobi city na katika hzo hzo nairobi national park iko ndani ile misitu yote imezunguka nairobi imo ndani ya hio hio km sq
 
Hio sio Quality Centre imepata mmiliki mpya?
Lile eneo sasa hivi la Moto Sana, Wakati Mkuki mall inapigwa Brush upya na kuja na Pandain Mall, Home City kaamua kuja kuzuia watu Gomz, kitunda etchuiu Quality Center. Kuna booming flani ya aina hii ya masoko yanachipuka kila kona halafu bei sawa na Kariakoo au chini zaidi. Sasa hivi kuna Home city tayari ana Maduka matatu ( Mlimani City, Palm Village, na Sasa Quality center, pia Kuna Happygo shopping pale Dar Village, Kuna Home Markert Mbezi African, Kuna City Store Mikocheni.
 
Back
Top Bottom