NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,382
- 17,966
Sii CBDArchives ni CBD au sio CBD?
Sii CBDArchives ni CBD au sio CBD?
TZ players are used to money. They get paid a lot from their clubsIf you beat MOROCCO each player will get Ksh. 13,000 ~~SULUHU HASSAN 😅😸😸😂😺
Kutokua waoga kumeondoa slums,kumeondoa njaa,mngese huko kwenu kunaongoza kwa jobless east africa nzimaThe great difference between Kenya na TZ , is Uoga hauko kwa Wakenya . TZ got a thousand more poverty problems but they won’t dare highlight it for fear of CCM retaliation. But Kenyans will shame even their President. So Wabongo enjoy exposing Kenya’s freedom of expression, something you only see on Kenyan tvs or social media ..😁😁
na hio tatu ina zaidi ya miaka 18 😂😂😂Wakati wanaanza nilijua Tatu City ni sawa na Runda au Northkand city kumbe ni SEZ.
Sasa hii sioni kama ina tofauti yoyote na SEZ tulizonazo kwetu.
na sasa watajenga na pesa ya nani ikiwa sasa miradi wanaiuza kwa jina la PPP 😂😂Kuna mambo hawataki kukubali, ila ndio ukweli.
Nairobi ni ndogo na nyembamba sana.
Kwanza ilitakiwa hata serikali ya Kenya ihame Nairobi, mji upumue.
Otherwise, watakuja kuanza kujenga Flyover juu ya flyover.
Sioni FUTURE.na sasa watajenga na pesa ya nani ikiwa sasa miradi wanaiuza kwa jina la PPP 😂😂
Kenya hakuna kitu nafuuajabu ni kua uganda mafuta ni rahisi kuliko kenya ambayo in bandari😂😂😂
na sasa watajenga na pesa ya nani ikiwa sasa miradi wanaiuza kwa jina la PPP 😂😂
walijaribu kila aina ya project lakini wapi waliishia kuliwa pesa zao tu sijui BRT wakapaka listick thika, sijui wakaja na ndoto ya tram ikaishia kwa hewa, mara railway city 😂😂😂😂😂😂😂
yani nje ya nairobi hakuna project ya maana ya kusema wanaendeleza nchi never zaidi ya vi appartment vya ruto anavowadanganya navo huku wamiliki wakuu ni politicians na hapo ndio utaona ajabu ya hawa punda yani hawana hata fikra ya kufkiri kua wanarudi nyuma baada ya kwenda mbele
hio talanta yenyewe ni mradi wa PPP kutoka china maana yake still mchina atakua mmiliki kama vile nairobi expressway ambayo mpaka leo haijaonesha mwanga kama itarudisha pesa within 30 good years 😂😂😂😂
sasa ikiwa 696km sq area ya nairobi city na katika hzo hzo nairobi national park iko ndani ile misitu yote imezunguka nairobi imo ndani ya hio hio km sq
Lakini Sisi tuko na uwanja mpya wa mpira. 😂😂😂By 2030 our SGR will have touched Lake Victoria, Lake Tanganyika.
Billions of USD being invested here by the Government of Tanzania.
We have no equal in this region. We are untouchable.
Sijawahi kusikia Kenya wana visionTatizo wanamipango mizuri ila hawana vipaumbele vya miradi na upigaji ni mkubwa sana
Lile eneo sasa hivi la Moto Sana, Wakati Mkuki mall inapigwa Brush upya na kuja na Pandain Mall, Home City kaamua kuja kuzuia watu Gomz, kitunda etchuiu Quality Center. Kuna booming flani ya aina hii ya masoko yanachipuka kila kona halafu bei sawa na Kariakoo au chini zaidi. Sasa hivi kuna Home city tayari ana Maduka matatu ( Mlimani City, Palm Village, na Sasa Quality center, pia Kuna Happygo shopping pale Dar Village, Kuna Home Markert Mbezi African, Kuna City Store Mikocheni.Hio sio Quality Centre imepata mmiliki mpya?
Na Proper sidewalks, Pedestrian and Cyclist friendly city😎Logistics centre iko Morogoro road, hio hapo juu ipo Nyerere road. Najua umeona BRT lanes ukajua ni same location. Dar major roads zote sasa hivi zina BRT I.e 6 lanes plus service roads.