Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,946
- 34,994
Daily Dose
![]()
View: https://youtu.be/pYTHN0mIxII sgr iko tabora huko,nyie mwaka wa 10 huu naivasha to malaba tia maji tia maji,post tu talanta maana ndio mradi mkubwa mlionao kwa sasa
Daily Dose
![]()
The difference siyo UOGA.The great difference between Kenya na TZ , is Uoga hauko kwa Wakenya . TZ got a thousand more poverty problems but they won’t dare highlight it for fear of CCM retaliation. But Kenyans will shame even their President. So Wabongo enjoy exposing Kenya’s freedom of expression, something you only see on Kenyan tvs or social media ..😁😁
tuoneshe sasa hio tatu city yenye 3b usd sasa musituletee propaganda za kina kasongo hapa 😂😂😂😂😂 kwasababu kila siku munadanganywa basi munafkiri uongo ni chakula cha kila mtu ng'ombe weweSo tatu city imeishia hapo? Nyinyi ni wabishi kupitiliza. Kwa taarifa yako tatu ina makampuni zaidi ya 100 na wafanyikazi zaidi ya 20,000
walijaribu kila aina ya project lakini wapi waliishia kuliwa pesa zao tu sijui BRT wakapaka listick thika, sijui wakaja na ndoto ya tram ikaishia kwa hewa, mara railway city 😂😂😂😂😂😂😂Ndio maana mji umejaa FLYOVERS, BYPASS, HIGHWAYS, na UNDERPASS lakini wapi??
Mji umejaa kuta za MAZEGE kwa jina la BARABARA lakini wapi?
Watakuja kushtuka wamechelewa sana.
Futa hiyo Nairobi National Park, panua mji.
Ondoa Nairobi mentality, endeleza miji mingine kama Mombasa, Nakuru, Lamu, Malindi na Kisumu.
Imagine, Talanta, Kasarani zote ziko Nairobi.
Traffic jam haitakuja kuisha.
Kuna mambo hawataki kukubali, ila ndio ukweli.walijaribu kila aina ya project lakini wapi waliishia kuliwa pesa zao tu sijui BRT wakapaka listick thika, sijui wakaja na ndoto ya tram ikaishia kwa hewa, mara railway city 😂😂😂😂😂😂😂
yani nje ya nairobi hakuna project ya maana ya kusema wanaendeleza nchi never zaidi ya vi appartment vya ruto anavowadanganya navo huku wamiliki wakuu ni politicians na hapo ndio utaona ajabu ya hawa punda yani hawana hata fikra ya kufkiri kua wanarudi nyuma baada ya kwenda mbele
hio talanta yenyewe ni mradi wa PPP kutoka china maana yake still mchina atakua mmiliki kama vile nairobi expressway ambayo mpaka leo haijaonesha mwanga kama itarudisha pesa within 30 good years 😂😂😂😂
sasa ikiwa 696km sq area ya nairobi city na katika hzo hzo nairobi national park iko ndani ile misitu yote imezunguka nairobi imo ndani ya hio hio km sq
Archives ni CBD au sio CBD?Why should I post something I already posted? I'm not going to be pulled into your sealioning.
Nilikuambia unichoree CBD ya Dar ukakataa, mimi naweza kuchorea CBD ya Nairobi ukitaka ndio uone sehemu gani ziko part of the CBD.
Sii CBDArchives ni CBD au sio CBD?
TZ players are used to money. They get paid a lot from their clubsIf you beat MOROCCO each player will get Ksh. 13,000 ~~SULUHU HASSAN 😅😸😸😂😺
Kutokua waoga kumeondoa slums,kumeondoa njaa,mngese huko kwenu kunaongoza kwa jobless east africa nzimaThe great difference between Kenya na TZ , is Uoga hauko kwa Wakenya . TZ got a thousand more poverty problems but they won’t dare highlight it for fear of CCM retaliation. But Kenyans will shame even their President. So Wabongo enjoy exposing Kenya’s freedom of expression, something you only see on Kenyan tvs or social media ..😁😁
na hio tatu ina zaidi ya miaka 18 😂😂😂Wakati wanaanza nilijua Tatu City ni sawa na Runda au Northkand city kumbe ni SEZ.
Sasa hii sioni kama ina tofauti yoyote na SEZ tulizonazo kwetu.
na sasa watajenga na pesa ya nani ikiwa sasa miradi wanaiuza kwa jina la PPP 😂😂Kuna mambo hawataki kukubali, ila ndio ukweli.
Nairobi ni ndogo na nyembamba sana.
Kwanza ilitakiwa hata serikali ya Kenya ihame Nairobi, mji upumue.
Otherwise, watakuja kuanza kujenga Flyover juu ya flyover.