NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,388
- 17,969
Wakitoa muone mko chini yetu si mtasema fake data? Ama mnadhani hatuwajui?Sijui kwanini TANESCO hawatoagi hizo data. Hata idadi ya wateja wa TANESCO sijui ni ngapi?
Wakitoa muone mko chini yetu si mtasema fake data? Ama mnadhani hatuwajui?Sijui kwanini TANESCO hawatoagi hizo data. Hata idadi ya wateja wa TANESCO sijui ni ngapi?
wasubiri simba day keshokutwa tu hapo waone vile 60k stadium inatapika😂😂😂Huwa wanadhani Watanzania kutohudhuria kuangalia mpira shida ni tickets, wanadhani sana wanaijua Tanzania. 😂😂😂
Ngoja nitunze hii comment. October utafunga domo lako. Kwa sababu routes ya KIMARA tatizo lake linajulikana na wanalifanyia kaziAlafu wanafurahia. Heri tubaki Tu na Matatu zetu.
Hivi vitu ni vigeni kwao ndio maana kelele ni nyingi. 😂😂😂wasubiri simba day keshokutwa tu hapo waone vile 60k stadium inatapika😂😂😂
na nimeskia simba watacheza na kenya police
Uzuri siku hizi watu wamewashtukia kama ni waongo,hata siku 1 huwezi kukuta mTanzania akidanganya kuhusu kitu cha kunyaland ni cha kwetu,hao wangese sasa,ndio maana ile ban inawauma mno,kikubwa serikali ile ban iifanye kwa vitendoView attachment 3445603
matajiri hao 😂😂😂 alaf wanawacheka burundi eti masikini
View: https://x.com/propesatv/status/1957358745710690615?s=46

kaka nairobi ni mji mdogo sana tena finyu, ni mji ambao hauna barabara za kutosha ndio maana unaona wao traffic jam za masaa mawili mpaka matano ni kitu cha kawaida sana 😂😂😂😂 alaf mbaya zaidi wanakuja kujidanganya humu as if sisi hatuwajui vileMimi nikajua vitu vya hivi huko kwao havipo vipo huku kwetu tu maake hawajawahi kuvionyesha hata siku moja
Post here. Na mimi naenda same streets tomorrow nakupigia picha. Hasa pale mnazi mmoja uone landscaping iliyofanywa.I took a video of your CBD and it had worse roads than this section (Which is not even part of the CBD). Hiyo video huwa inawauma sana.
Hahaaa🤣🤣🤣🤣🤣hii inakuja baada ya ile ban! Je wanaweza kugoma!?![]()
![]()
Uzuri siku hizi watu wamewashtukia kama ni waongo,hata siku 1 huwezi kukuta mTanzania akidanganya kuhusu kitu cha kunyaland ni cha kwetu,hao wangese sasa,ndio maana ile ban inawauma mno,kikubwa serikali ile ban iifanye kwa vitendoView attachment 3445603
mzee umeamua na kukata mauno😂😂hii inakuja baada ya ile ban! Je wanaweza kugoma!?![]()
![]()