Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Juzi nilikuwa nacheki mechi yao na Zambia kuna dogo kama wa miaka 17 hivi akaingia ni baa tunagonga vyombo alikuwa na baba yake akawa anamsubiria babayake akasema mbona wakenya wanatuchukia hivyo ni kwasababu ya maendeleo tuliyonayo kwasasa au ni kitu gani akasema yaani nawachukia wakenya sana mpaka watoto wanawachukia kiasi hiki nikasema haya yote wamejitakia wenyewe acha wapambane na hali yao
Uzuri siku hizi watu wamewashtukia kama ni waongo,hata siku 1 huwezi kukuta mTanzania akidanganya kuhusu kitu cha kunyaland ni cha kwetu,hao wangese sasa,ndio maana ile ban inawauma mno,kikubwa serikali ile ban iifanye kwa vitendoView attachment 3445603
 
kariobangi kamunde road 😂😂😂
usikie vile wanavowadanganya wa nigeria

IMG_7813.jpeg
IMG_7814.jpeg
IMG_7815.jpeg
IMG_7816.jpeg
 
kaka nairobi ni mji mdogo sana tena finyu, ni mji ambao hauna barabara za kutosha ndio maana unaona wao traffic jam za masaa mawili mpaka matano ni kitu cha kawaida sana 😂😂😂😂 alaf mbaya zaidi wanakuja kujidanganya humu as if sisi hatuwajui vile


View: https://x.com/captainochenge/status/1856925027104600133?s=46

Kwa mtu aliyeishi Nairobi. Akisikia tambo za wakenya. Atawaignore tu.

Dar es Salaam is so developed kuliko Nairobi hasa kwa upande wa Horizontal infrastracture
Ni vile tu sisi hakuna maphotographer wakutosha kupiga picha angle tofauti tofauti kama wanavyofanya wao.
Mji wao ni ndogo mno. Ukisikia making kama Westlands sijui Kilimani unaweza fikiri ni madistrict makubwa labda kama unavyoona Kinondoni kumbe ni mitaa tu size ya kata.

Ndo maana picha za Dar zikipostiwa mitandaoni Africans wanashtuka.
Tazama comments kwenye hii post wengi wanakataa sio Dar. Na ni mitaa mitatu ya Posta.

View: https://www.facebook.com/100091513781510/posts/692196820507438/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
 
Nafikiri nyang'au hawajui maana ya kuwa mbele miaka 50. Wanajisemea hovyo tu😂😂

Cc: Mimi Wewe Yule
Kuna siku waliona picha moja ya barabara ya tope TZ, wakaanza ku-comment kuwa Tanzanian is 20 years behind.

Niliwakea video kama 20 za barabara za tope Kenya, wote wakapotea.

Sometimes, tuwaelewe kama watu wanaotafuta FARAJA na VALIDITY kuwa wako vizuri.
 

TZ ina production ya zaidi ya 4000MW za umeme kwa sasa.

Ila kuna projects nyingi za umeme zinaendelea za Maji, Jua na Georthermal.

Sisi hatuna shida, Kenya wameshafanikowa kwenye Geothermal lazima tuje kufanya benchmarking.

Nadhani hata KETRACO ilipewa tender ya kusaidia -drilling project yetu ya Geothermal, Ngozi.


View: https://youtu.be/fl5nDqxoC4Q?si=EDV3B01lxFcTS8Fh
 
Back
Top Bottom