Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,867
- 103,719
kaka nairobi ni mji mdogo sana tena finyu, ni mji ambao hauna barabara za kutosha ndio maana unaona wao traffic jam za masaa mawili mpaka matano ni kitu cha kawaida sana 😂😂😂😂 alaf mbaya zaidi wanakuja kujidanganya humu as if sisi hatuwajui vile
View: https://x.com/captainochenge/status/1856925027104600133?s=46
Haiwezi kuwa FAKE, data halisi.Wakitoa muone mko chini yetu si mtasema fake data? Ama mnadhani hatuwajui?
Kuna siku waliona picha moja ya barabara ya tope TZ, wakaanza ku-comment kuwa Tanzanian is 20 years behind.
Na bado munakuja Kenya kufanya benchmarking.
View: https://x.com/TarhanYild53511/status/1948416175039217722?t=JzoR6OD5aJz2EKHcHnqFdw&s=19
Heb post hiyo video basi Wewe mkundu kunukaa.I took a video of your CBD and it had worse roads than this section (Which is not even part of the CBD). Hiyo video huwa inawauma sana.
Why should I post something I already posted? I'm not going to be pulled into your sealioning.Post here. Na mimi naenda same streets tomorrow nakupigia picha. Hasa pale mnazi mmoja uone landscaping iliyofanywa.
Archives sio CBD siku hiz? Eh!
Kwani CBD ni nini?Why should I post something I already posted? I'm not going to be pulled into your sealioning.
Nilikuambia unichoree CBD ya Dar ukakataa, mimi naweza kuchorea CBD ya Nairobi ukitaka ndio uone sehemu gani ziko part of the CBD.
hii inakuja baada ya ile ban! Je wanaweza kugoma!?![]()
![]()
Kunyan chuki yao na wivu vilianza kuonekana kipindi cha JPM,yan pale ile chuki yao kikabila ikafahamishwa TZ na ikafanya hata watanzania ambao walikua hawajui kinachoendelea kufahamu kumbe kunyan wapo vipi,now hamna mtanzania asiejua kama hao mungiki wana roho mbaya,yote hii wanadai tunawapita,yan kufanya maendeleo yetu wanaona tunawapita hao wangeseJuzi nilikuwa nacheki mechi yao na Zambia kuna dogo kama wa miaka 17 hivi akaingia ni baa tunagonga vyombo alikuwa na baba yake akawa anamsubiria babayake akasema mbona wakenya wanatuchukia hivyo ni kwasababu ya maendeleo tuliyonayo kwasasa au ni kitu gani akasema yaani nawachukia wakenya sana mpaka watoto wanawachukia kiasi hiki nikasema haya yote wamejitakia wenyewe acha wapambane na hali yao
Kunyan chuki yao na wivu vilianza kuonekana kipindi cha JPM,yan pale ile chuki yao kikabila ikafahamishwa TZ na ikafanya hata watanzania ambao walikua hawajui kinachoendelea kufahamu kumbe kunyan wapo vipi,now hamna mtanzania asiejua kama hao mungiki wana roho mbaya,yote hii wanadai tunawapita,yan kufanya maendeleo yetu wanaona tunawapita hao wangese
Ngoja waje kukujibu na talanta na maghorofa ya kilimani
So tatu city imeishia hapo? Nyinyi ni wabishi kupitiliza. Kwa taarifa yako tatu ina makampuni zaidi ya 100 na wafanyikazi zaidi ya 20,000According to Kunyarendans hapa tatu city tayar kumeshawekezwa $3 billion 👇🏾View attachment 3446099🤣🤣🤣🤣 huyu mbwa Teargass anasema hii tatu city is better than Dodoma city. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dah hawa wa kunyarenda bhana.