Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa mtu aliyeishi Nairobi. Akisikia tambo za wakenya. Atawaignore tu.

Dar es Salaam is so developed kuliko Nairobi hasa kwa upande wa Horizontal infrastracture
Ni vile tu sisi hakuna maphotographer wakutosha kupiga picha angle tofauti tofauti kama wanavyofanya wao.
Mji wao ni ndogo mno. Ukisikia making kama Westlands sijui Kilimani unaweza fikiri ni madistrict makubwa labda kama unavyoona Kinondoni kumbe ni mitaa tu size ya kata.

Ndo maana picha za Dar zikipostiwa mitandaoni Africans wanashtuka.
Tazama comments kwenye hii post wengi wanakataa sio Dar. Na ni mitaa mitatu ya Posta.

View: https://www.facebook.com/100091513781510/posts/692196820507438/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v

yani hua najiuliza sana

View: https://x.com/nyakundireport/status/1957752056518742464?s=46
 
Upcoming projects at Njedengwa Dom ..TCRA HQ
IMG_0557.jpeg
CCT house Njedengwa
IMG_0564.jpeg
WATUMISI HOUSING PROJECT
IMG_0573.jpeg
 

Ndio maana mji umejaa FLYOVERS, BYPASS, HIGHWAYS, na UNDERPASS lakini wapi??

Mji umejaa kuta za MAZEGE kwa jina la BARABARA lakini wapi?

Watakuja kushtuka wamechelewa sana.

Futa hiyo Nairobi National Park, panua mji.

Ondoa Nairobi mentality, endeleza miji mingine kama Mombasa, Nakuru, Lamu, Malindi na Kisumu.

Imagine, Talanta, Kasarani zote ziko Nairobi.

Traffic jam haitakuja kuisha.
 
Taja makampuni 15 tu.
1. Uniliver
2. Chandaria industries
3. KWAL
4. Dormans
5. Davis and shirtliff
6. Cooper brands ltd
7. Copia
8. Cold solutions
9. ALP
10. Distell
11. IFC
12. Twiga
13. Bidco
14. Tianlong
15. Stecol corporation
16. Sinotruk
Etc
 
1. Uniliver
2. Chandaria industries
3. KWAL
4. Dormans
5. Davis and shirtliff
6. Cooper brands ltd
7. Copia
8. Cold solutions
9. ALP
10. Distell
11. IFC
12. Twiga
13. Bidco
14. Tianlong
15. Stecol corporation
16. Sinotruk
Etc
Hukuna Uniliver Kenya acha uongo, Kenya ni madalali tu. Sijaona Contact ya kenya kwenye website yao.

1755611824909.png



 
Back
Top Bottom