Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

3 new stadiums for Afcon 2027.. Arusha 👇🏾
IMG_0494.jpeg
Dom 👇🏾
IMG_0536.jpeg
Znz
IMG_0371.jpeg
tukimaliza huku hizi zipo ready .. Mkapa stadium 👇🏾
IMG_0075.jpeg
Znz
IMG_6115.jpeg
Pemba
IMG_9777.jpeg

Hapo bado tunazo
7. Chamazi complex
8. Uhuru stadium 🏟️

🤣🤣🤣 likija suala la viwanja vya mpira sisi ni super power in this region.
 
Kenya power has 10 million customers, ebu waulize TANESCO ina customers wangapi? Oooopppss hawajui about customers, they only count villages.🤣🤣🤣
Kwanza amequote gazeti la serikali . Ni kama wakati wa Moi kuquote uchumi from Kenya Times ( owned by KANU)… he thinks he’s tricking me…🤣🤣
 
less with what ikiwa demand ya kenya 2025 ni 2100MW na mm nimekupa demand ya 2024 what about mpaka sasa itakua ngapi na sisi ndio tunaongoza africa kwa kusambaza umeme vijijini 😂😂 unategemea demand itakua ni ile ile au???

sisi hua hatu fake data mzeee
Munaongoza kusambaza vijijini 🤣
Watanzania ni vilaza. Haya tuambie munaunganisha nyumba ngapi kwa mwaka
 
3 new stadiums for Afcon 2027.. Arusha 👇🏾View attachment 3445733Dom 👇🏾View attachment 3445736Znz View attachment 3445737tukimaliza huku hizi zipo ready .. Mkapa stadium 👇🏾View attachment 3445753ZnzView attachment 3445746PembaView attachment 3445752
Hapo bado tunazo
7. Chamazi complex
8. Uhuru stadium 🏟️

🤣🤣🤣 likija suala la viwanja vya mpira sisi ni super power in this region.
Na pia mlipe watu kuingia uwanja muache kutuaibisha
 
Serikali imeamua ipee mashabiki tiketi za bure kuepusha aibu 😂. Alafu serikali yenyewe hata haina pesa ya kupea team ikichapa morocco, surely 500k ni nini kwa team
1000063779.jpg
 
3 new stadiums for Afcon 2027.. Arusha 👇🏾View attachment 3445733Dom 👇🏾View attachment 3445736Znz View attachment 3445737tukimaliza huku hizi zipo ready .. Mkapa stadium 👇🏾View attachment 3445753ZnzView attachment 3445746PembaView attachment 3445752
Hapo bado tunazo
7. Chamazi complex
8. Uhuru stadium 🏟️

🤣🤣🤣 likija suala la viwanja vya mpira sisi ni super power in this region.
Halafu kuna mbwa wanadai wanaweza ku-host Afcon peke yao! Kisa Talanta!
 
Back
Top Bottom