Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tukiwaambia all those farms products coming to Kenya are farmed by Kenyans in Tanzania hakuwa mnaamini.

Sasa unaona vile mnalia after kugundua?😂😂🤣.
Huyo farmers ni mtanzania pure mgogo wa huko Dodoma
Kwa nini mnapenda Uongo na kujidanganya.
Tanzania fully Documentary YouTube hapa.
Kwanza mara ya kwanza citizen tv walidanganya ati grape farming in kenya lakin video anaonyesha central Tanzania.

View: https://youtu.be/CQdlC5gbKK8?si=cG45i7fA5BGN4K3k

Baada ya engagement na watu kumshtukia basi wakabadilisha title. Imagine media kubwa kama citizen. Ndo maana Magufuli alilambisha matako kipindi fulani.
Kenyas mnaitamani sana Tanzania basi tu hamna namna.

View: https://youtu.be/rCgahHyXTS0?si=Q926ie03sp1pFv2V
 
Wakuu CBD yetu 😁😁😁

View attachment 3443785
Tena ni Westlands. Nilisikia mtu anasema ni zaidi ya Posta 😂😂.

Posta Sasa. Landscaping kama hii huwezi ipata kenya nzima
PXL_20250817_053511157.MP.jpg


PXL_20250817_053515826.PORTRAIT.ORIGINAL.jpg
PXL_20250817_054954597.LONG_EXPOSURE-01.COVER.jpg
PXL_20250817_055805902.LONG_EXPOSURE-02.ORIGINAL.jpg
 
Dar huwezi kuona vipanya popote lakini naislum nganya ni world War 1 delivery vans
NairobiWalker alikuwa Rombo moshi vijijini huko anashangaa vihiace vipanya kama vile kwao capital city yao wan trams labda au metros.😂😂.

Akaenda hadi Arusha. Ati anashangaa third largest city kuwa na vipanya. And by the way siku hiz routes nyingi za Arusha wameintroduce routes za coasters.

Kenya kuanzia capital city hadi nchi nzima vimejaa vipanya. Na nyingi ni very old.
 
Si niliweka hapa video ya CBD yenu bila sidewalks mkaanza kusema nimechagua sehemu mbovu? Yani mnachagua kisehemu kidogo Darislum chenye sidewalks wakati 99% ya Darislum haina sidewalks halafu mnataka kutulecture juu ya sidewalks?
Ati 99% ya Dar haina sidewalks. Hiv kwa nini mnapenda Uongo?
Yani kenyas na lies ni chupa na mfuniko.

BRT roads zote za Dar zaidi ya 60km sasa zina wide sidewalks
Mfano Tazama phase 3. 23km na ina sidewalks barabara yote

View: https://youtu.be/qkjP3aufXk4?si=VTcQkNluiMtD5hv8
 
Kama watapapanga vizuri kwala inayo potential Ya kuwa mji wa kisasa sana, since itakua na industrial park kubwa iliyopangwa vizuri zaidi, marshaling yard+ the largest dry port. Wakiwekeza makazi yakisasa+ huduma za kijamaa, hili ni eneo ambalo litaipa Pwani region taswira mpya kabisa.
Nasemaga bongo kila sehemu ni pesa sana.

Mfano mji wa Tabora. Unaweza piga hatua kubwa kama Inland Port.

Kwa kua Una reli, kila mkoa inapopita unajenga industries za kuchakata raw material za mkoa
 
NairobiWalker alikuwa Rombo moshi vijijini huko anashangaa vihiace vipanya kama vile kwao capital city yao wan trams labda au metros.😂😂.

Akaenda hadi Arusha. Ati anashangaa third largest city kuwa na vipanya. And by the way siku hiz routes nyingi za Arusha wameintroduce routes za coasters.

Kenya kuanzia capital city hadi nchi nzima vimejaa vipanya. Na nyingi ni very old.
hio mombasa ndio utacheka mpaka uanguke chini nissan caravan panya vimebinuliwa nyash huko nyuma utasema vinataka kuzaa 😂😂😂😂😂


IMG_7788.jpeg
 
Back
Top Bottom