Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,556
- 103,353
View: https://youtu.be/ZL-4vDChhYM?si=pB3ndhy4T0yGNaJy
Dar es Salaam inabadilika na kuwa mji wa kishua aisee, Vitu kama hivi niliviona S.A 🔥 Soon tutaanza kushuka hapo na BRT buses.
Logistics centre iko Morogoro road, hio hapo juu ipo Nyerere road. Najua umeona BRT lanes ukajua ni same location. Dar major roads zote sasa hivi zina BRT I.e 6 lanes plus service roads.Mara ni logistics center Mara ni Mall . Please pick one Jameni and stick to it ..😁😁
Bruh are you horny or something?! Why you posting females that you don't personally know? WeirdoHuyu anaitwa Zaiylisa Wakenya wanakodoa macho tu, wanakula kwa macho. Wanawake wa kenya sura mbaya kama baba zao
View attachment 3442899
Typical Bongolalas hawapendi ukweli.😂😂😂
Hapo si ni Nairobi?Tatu pekee. 👏 Mumejaribu lakini.
Hiyo $100 unamlipa wewe!! Nyang'au hii!!!191 usd wakati mwalimu wa primary analipwa less than 100 usd, unaona watu hapa ni mang'ombe kama wewe
Huyo farmers ni mtanzania pure mgogo wa huko DodomaTukiwaambia all those farms products coming to Kenya are farmed by Kenyans in Tanzania hakuwa mnaamini.
Sasa unaona vile mnalia after kugundua?😂😂🤣.
Tena ni Westlands. Nilisikia mtu anasema ni zaidi ya Posta 😂😂.
That was 20 years ago. Wao ndio wanapata vibe la football leo! 🤣🤣🤣Tanzania tulikamilisha ujenzi wa Mkapa Stadium 2005, ambayo ni kubwa kuliko viwanja vyote kenya past and future
Sasa ni nini cha ajabu hapa? Ama ndio Mara yako ya kwanza kuona cabros?Tena ni Westlands. Nilisikia mtu anasema ni zaidi ya Posta 😂😂.
Posta Sasa. Landscaping kama hii huwezi ipata kenya nzima
View attachment 3444842
View attachment 3444845View attachment 3444854View attachment 3444852
Larry Madowo, one of few successful Kenyans in the world has Azam tv. Familia yake yote inawatch powered by Tanzania 😂Nobody watches Azam in Kenya. And talking about decoders, are you aware Kenyans owns double the number of decoders as Tanzania. Hakuna Kitu mtawaitufikia nyinyi.