Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkundustan anasubiri mchina na money launders waje kujenga apartments aseme naislum ipo on steroids kisa haoni outskirts of Dar zinavyopaa, watanzania hawasubiri foreigners wala government projects, najua hizi mansions zinazojengwa on Dar outskirts zikifanyiwa value assessment na apartments za mchina naislum wanatoka kapa


View: https://www.instagram.com/reel/DLZ9motIvdV/?igsh=MTJ4bjJrcWI0MXIwbA==
 
Asanteni sana Azam kwa kuwekeza pesa za madafu kwenye KPL, ningependa Kuona financial report yao kwa mwaka ulioisha.
Exchage rate ya KSh ipo juu. But Thamani ya pesa ya Tanzania ni kubwa.

Tunapima currency kwa PPP against USD each dollar.

Tuambie How much does a liter of petrol cost in Kenya in USD?
 
Asanteni sana Azam kwa kuwekeza pesa za madafu kwenye KPL, ningependa Kuona financial report yao kwa mwaka ulioisha.
Black and White TV. 🤣 🤣 🤣 🤣

1755442709704.png
 
Mkundustan anasubiri mchina na money launders waje kujenga apartments aseme naislum ipo on steroids kisa haoni outskirts of Dar zinavyopaa, watanzania hawasubiri foreigners wala government projects, najua hizi mansions zinazojengwa on Dar outskirts zikifanyiwa value assessment na apartments za mchina naislum wanatoka kapa


View: https://www.instagram.com/reel/DLZ9motIvdV/?igsh=MTJ4bjJrcWI0MXIwbA==

No paved roads, munagawa viwanja ovyo ovyo bila plan, nyumba zinakaa vizuri lakini planning hakuna, ndio maana hata plot sizes hazitoshani.

Nchi zimeendelea watu wanaishii hivi.


View: https://vm.tiktok.com/ZMARprWYw/
 
Huku wakenya watafika wamechoka sana. Azam Max unaweza ukajiunga na kuangalia 4K kupitia Web. Unalipa kwa Week au kwa Mwezi. wakenya hamuwezi kufika huku

1755443676829.png
 
Back
Top Bottom