Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakundustan wanazidi kukimbiwa, nakumbuka the entire coast tourism belt of Kunyaland ilikua dominated na Italians, most properties were owned by the Italian tycoons lakini now all abandoned, cha ajabu utashangaa watafake data waoneshe walipokea watalii wengi na mapato mengi


View: https://x.com/TheCitizenTz/status/1954464966162977093?t=_sNzpYFaOvke3QyRs49Zwg&s=19

Serengeti huko kuna gari za utalii nyingi mno mpaka inashauriwa serikali iweke limit ya magari mbugani,serengeti ni full watalii,bado tarangire,ngorongoro,mikumi,znz nk,kidata lakini nyang'au lazima watupite
 
Namba kubwa ya watalii inayohesabika Kenya mi pamoja na TRANSIT.

Huko US na Ulaya, Kenya Airways inawauz kwa watalii kuwa itawapeleka Ngorongoro, Serengeti, Kilimanjaro.

Wakishawabeba wanawashushia JKIA.


Ndio maana huwa wanalia tukipiga marufuku KQ kutua TZ, au kuja na magari yao TZ.
Hao watalii watakua wazembe nao wao,france air now inatua znz na kia,klm inatua dar,znz na kia,soon british air nao watarudi TZ
 
UNION MEAT GROUP - Tunakula nyama za Maana. Wakenya wanakula Mutura
1754996368449.png


1754996433932.png
 
Back
Top Bottom