Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

na hizo money markets funds hela zao wanaweka kwenye mifuko ya rambo?
Yani kila Mtanzania ni mjinga Tu hivi? Money Market funds keep their money in Government bonds and bills. Now go ahead and ask me where government keep their money.

I have realized that Tanzanians in JF hawajui anything about finances.
 
Ila wakuu siasa hizi za uchawa zimeharibu sana Mambo.

Hii CHAN mtu hana mwamko kabisa kisa mijitu inaingiza siasa kila sehemu.

Yaani mtu utoke home kwako ufike taifa, ukae uenjoy mpira ghafla unaona bendera ya nchi ina picha ya Mama mama.

Jezi zina picha ya Mama mama, bado tukiwa wengi utasikia Mama amejaza.

Bado Taifa stars ikishinda utasikia Mama mama.

Kwa huo ujinga kuna mtu atawazingatia atoke aende kuingizwa kwenye ujinga?

Si bora mtu ukae home.

Kingine Waziri, Naibu waziri, na watu wote wapo na Wajumbe kutafuta kura ya ubunge.

Mwingine Naibu yupo anafanya michongo kesi ya Billion ya Tigo ale na AY.

LET BE SERIOUS SIASA ZIMEDODESHA HAYA MASHINDANO, TOKA MWANZO UNAJARIBU KUGAWA WATU NA MAMBO YA MAMA MAMA, NA TUPO GENERAL ELECTION.

Mbona Museveni amekaa miaka 40 hana huu ujinga?

Unaona kabisa tofauti na Tz nchi zingine wanaenda kwa mpira ila sisi tunaenda kutafuta platform ya Siasa.
tanzania tulifaa tupate rais kama husein mwinyi hvi sasa ili mambo yaende vzr
 
When you crashed our discussion kwani uliona tukidiscuss about 5 floors buildings?

Just accept that Dar currently has no energy to compete with Addis Ababa and Nairobi. Hata Mombasa haiwezani nayo saa hii.
Iโ€™m not surprised wewe unatoka vijijini kwahyo lazima uwe na ushamba wa magorofa mana Ndio umefika mjini kushangaa hayo. ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

By the way si lazima gorofa iwe 30 floors kwasababu it doesnโ€™t give it the status of a super tall structure. From 100 meters- 150 meters floors them both of the same status (sky scrapers) some sky scrapers have only 10-20 floors.

Rudi Bush, mji unahitaji wajanja sio wewe mbwa kachoka.. shamba boy ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
What happened to Kenya kupokonywa CHAN na kupewa Rwanda that you kept on singing here? Let me tell you one thing, Kenya is the main host of this tournament. Tanzania na Uganda walionewa Tu huruma.
CHAN organizing committee is based in Tanzania, opening match ceremony done in Tanzania and possibly final match to take place in Tanzania. What part did you not understand about these tournaments?
 
Nani kapinda? Wapi watendaji hawamuogopi Rais?
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚


ngoja ninyamaze sina mwanasheria

ikiwa kura ya maoni ya haki watu wameikimbia wakijua watabwagwa asbh mapema sana
 
Mnakuanga very delusional. This same fake story mmezaliwa mkaipata na bado mnaiendeleza in this era of internet? In your mind you think Mzungu can't just Google those places like Ngorongoro to know which country it's situated in? Ama hao watalii ni watoto that they have to be told everything by Kenya airways officials?

And do you have prove that Kenya Airways usually lie to them?
Huwa mnafundishwa kukaza fuvu na ku-deny any facts??
Mnakuanga very delusional. This same fake story mmezaliwa mkaipata na bado mnaiendeleza in this era of internet? In your mind you think Mzungu can't just Google those places like Ngorongoro to know which country it's situated in? Ama hao watalii ni watoto that they have to be told everything by Kenya airways officials?

And do you have prove that Kenya Airways usually lie to them?
So, Kenya airways mmeziandika Ngorongoro ili iwe nini??
 
Addis Ababa is the biggest threat to Nairobi has far as tall buildings are concerned. Those people are not joking around, the rate at which Nairobi is building skyscrapers is the same speed Addis Ababa is also building their skyscrapers.

Dar bado wamebaki kushindana na Mombasa which will soon overtake Dar.
kupanga ni kuchagua buda. wengine wana prioritize buildings wengine wana prioritize strategic economic sectors with a higher multiplier effect on the population such as agriculture, mining, transport, energy, tourism, industries etc
 
Back
Top Bottom