ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Yani kila Mtanzania ni mjinga Tu hivi? Money Market funds keep their money in Government bonds and bills. Now go ahead and ask me where government keep their money.na hizo money markets funds hela zao wanaweka kwenye mifuko ya rambo?
tuletee ya gor mahia sasa ๐๐๐๐We zombie sponsorship ya club mara mingi huwa juu ukilinganisha na sponsorship ya ligi
tanzania tulifaa tupate rais kama husein mwinyi hvi sasa ili mambo yaende vzrIla wakuu siasa hizi za uchawa zimeharibu sana Mambo.
Hii CHAN mtu hana mwamko kabisa kisa mijitu inaingiza siasa kila sehemu.
Yaani mtu utoke home kwako ufike taifa, ukae uenjoy mpira ghafla unaona bendera ya nchi ina picha ya Mama mama.
Jezi zina picha ya Mama mama, bado tukiwa wengi utasikia Mama amejaza.
Bado Taifa stars ikishinda utasikia Mama mama.
Kwa huo ujinga kuna mtu atawazingatia atoke aende kuingizwa kwenye ujinga?
Si bora mtu ukae home.
Kingine Waziri, Naibu waziri, na watu wote wapo na Wajumbe kutafuta kura ya ubunge.
Mwingine Naibu yupo anafanya michongo kesi ya Billion ya Tigo ale na AY.
LET BE SERIOUS SIASA ZIMEDODESHA HAYA MASHINDANO, TOKA MWANZO UNAJARIBU KUGAWA WATU NA MAMBO YA MAMA MAMA, NA TUPO GENERAL ELECTION.
Mbona Museveni amekaa miaka 40 hana huu ujinga?
Unaona kabisa tofauti na Tz nchi zingine wanaenda kwa mpira ila sisi tunaenda kutafuta platform ya Siasa.
You beat the local Atlas lions (Simbaluwala) while we beat the real Atlas Lions (king of the jungle) ๐The point is, you beat a 95 ranked Morocco. We beat a 12 ranked Morocco. Is that hard to comprehend?
Iโm not surprised wewe unatoka vijijini kwahyo lazima uwe na ushamba wa magorofa mana Ndio umefika mjini kushangaa hayo. ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃWhen you crashed our discussion kwani uliona tukidiscuss about 5 floors buildings?
Just accept that Dar currently has no energy to compete with Addis Ababa and Nairobi. Hata Mombasa haiwezani nayo saa hii.
CHAN organizing committee is based in Tanzania, opening match ceremony done in Tanzania and possibly final match to take place in Tanzania. What part did you not understand about these tournaments?What happened to Kenya kupokonywa CHAN na kupewa Rwanda that you kept on singing here? Let me tell you one thing, Kenya is the main host of this tournament. Tanzania na Uganda walionewa Tu huruma.
๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐Nani kapinda? Wapi watendaji hawamuogopi Rais?
Huwa mnafundishwa kukaza fuvu na ku-deny any facts??Mnakuanga very delusional. This same fake story mmezaliwa mkaipata na bado mnaiendeleza in this era of internet? In your mind you think Mzungu can't just Google those places like Ngorongoro to know which country it's situated in? Ama hao watalii ni watoto that they have to be told everything by Kenya airways officials?
And do you have prove that Kenya Airways usually lie to them?
So, Kenya airways mmeziandika Ngorongoro ili iwe nini??Mnakuanga very delusional. This same fake story mmezaliwa mkaipata na bado mnaiendeleza in this era of internet? In your mind you think Mzungu can't just Google those places like Ngorongoro to know which country it's situated in? Ama hao watalii ni watoto that they have to be told everything by Kenya airways officials?
And do you have prove that Kenya Airways usually lie to them?
kupanga ni kuchagua buda. wengine wana prioritize buildings wengine wana prioritize strategic economic sectors with a higher multiplier effect on the population such as agriculture, mining, transport, energy, tourism, industries etcAddis Ababa is the biggest threat to Nairobi has far as tall buildings are concerned. Those people are not joking around, the rate at which Nairobi is building skyscrapers is the same speed Addis Ababa is also building their skyscrapers.
Dar bado wamebaki kushindana na Mombasa which will soon overtake Dar.
Our boys were also local. What is your point? Si huwa mnasema ligi yetu mbovu?You beat the local Atlas lions (Simbaluwala) while we beat the real Atlas Lions (king of the jungle) ๐
Kenya hakuna timu yenye utajiri wa hata usd 1mil, ila Tanzania timu 10 zote Zina utajiri wa zaid ya 1mil usdyani gor mahia inashindwa na mpaka sponsership ya mashujaaa๐๐๐๐
airbus gani hio inabeba 600 people??๐
Na ndege imepaki haiko anganiairbus gani hio inabeba 600 people??๐
yani jamaa anaongea kwa chuki kabisa eti 600 hahahaaha wakat airbus ya airtanzania inachukua 132 people only