Traveller D
JF-Expert Member
- Jul 11, 2025
- 487
- 2,162
Kumbe ni nchi nzima inachukia Tz .? 🤣🤣🤣🤣 tuna airbus ya 600 seats na hatujui.?
Kumbe ni nchi nzima inachukia Tz .? 🤣🤣🤣🤣 tuna airbus ya 600 seats na hatujui.?
Kwanini?tanzania tulifaa tupate rais kama husein mwinyi hvi sasa ili mambo yaende vzr
Mbilikimo wee unaipenda Kenya?Kumbe ni nchi nzima inachukia Tz .? 🤣🤣🤣🤣 tuna airbus ya 600 seats na hatujui.?
Ebu tuonyeshe hizo barabara tuone.
Ngoja tuone mtafika wapi I reserve my comments for now.Our boys were also local. What is your point? Si huwa mnasema ligi yetu mbovu?
Ulishawahi kuona mtanzania anazusha vitu kuhusu kunyarenda.? 🤣🤣🤣Mbilikimo wee unaipenda Kenya?
What do you expect from a Kunyan?
Si mlisema hatutashinda hata game moja kwa group stage, mshaabadilisha magoli tena. 🤣 🤣Ngoja tuone mtafika wapi I reserve my comments for now.
Hivi wewe unaishi dunia gani wee mbilikimo? There are literally Tanzanian online profiles that are 100% dedicated to soiling Kenya. 🤣🤣🤣Ulishawahi kuona mtanzania anazusha vitu kuhusu kunyarenda.? 🤣🤣🤣
Unajua ni kwanin.?simply because you are nothing to us.
What should I expect? Ndege ina watu sita ila ni Mkenya unalaumu? 😀 😀What do you expect from a Kunyan?
Yanii unapost Nairobi National Park unasema ni Karen? 😀😀 Enyewe mmeishiwa.
Tanzania only have 9 buildings above 100 meters. So yes, Dar bado iko chini Sana when it comes to skyscrapers.By the way si lazima gorofa iwe 30 floors kwasababu it doesn’t give it the status of a super tall structure. From 100 meters- 150 meters floors them both of the same status (sky scrapers) some sky scrapers have only 10-20 floors.
Tanzania is just a co-host like Uganda, Kenya is the main CHAN host.CHAN organizing committee is based in Tanzania, opening match ceremony done in Tanzania and possibly final match to take place in Tanzania. What part did you not understand about these tournaments?
Wapi facts hapo? Unaongea uongo ukiulizwa evidence unakasirika. No wonder you use 1% of your brain.Huwa mnafundishwa kukaza fuvu na ku-deny any facts??
Zile ndege za KLM zenye zimeandikwa zimeandikwa ili iwe nini? You are just stupid.Huwa mnafundishwa kukaza fuvu na ku-deny any facts??
So, Kenya airways mmeziandika Ngorongoro ili iwe nini??
Asante kwa picha za kitambo. Do you know the year when magari za KC's were new in Kenya?