Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakundustan wanazidi kukimbiwa, nakumbuka the entire coast tourism belt of Kunyaland ilikua dominated na Italians, most properties were owned by the Italian tycoons lakini now all abandoned, cha ajabu utashangaa watafake data waoneshe walipokea watalii wengi na mapato mengi


View: https://x.com/TheCitizenTz/status/1954464966162977093?t=_sNzpYFaOvke3QyRs49Zwg&s=19

Namba kubwa ya watalii inayohesabika Kenya mi pamoja na TRANSIT.

Huko US na Ulaya, Kenya Airways inawauz kwa watalii kuwa itawapeleka Ngorongoro, Serengeti, Kilimanjaro.

Wakishawabeba wanawashushia JKIA.


Ndio maana huwa wanalia tukipiga marufuku KQ kutua TZ, au kuja na magari yao TZ.
 
Kwani lazima kujenga gorofa iwe 30 floors wewe shamba boy.? 🤣🤣🤣
When you crashed our discussion kwani uliona tukidiscuss about 5 floors buildings?

Just accept that Dar currently has no energy to compete with Addis Ababa and Nairobi. Hata Mombasa haiwezani nayo saa hii.
 
Huko US na Ulaya, Kenya Airways inawauz kwa watalii kuwa itawapeleka Ngorongoro, Serengeti, Kilimanjaro.
Mnakuanga very delusional. This same fake story mmezaliwa mkaipata na bado mnaiendeleza in this era of internet? In your mind you think Mzungu can't just Google those places like Ngorongoro to know which country it's situated in? Ama hao watalii ni watoto that they have to be told everything by Kenya airways officials?

And do you have prove that Kenya Airways usually lie to them?
 
Dah ni hatari, ila kuna watu wanatulaumu eti tunapenda mpira wa Simba na Yanga.

Unaona kabisa siasa zimezidi.

Utachagua lipi utoke uende Uwanjani or upitie bars or restaurants, screen HD vinywaji, hakuna fala wa Mama Mama.

Unaenjoy mpira ukimaliza unageuza home.

Or uende Uwanjani ukute ufala na siasa nyingi? Like seriously tumezidi sasa na inaanza kukera
Juzi niko sehemu nikamuoma chawa amevaa shati la kijani halafu kwenye "screen saver" ya simu ameweka picha ya "mama" ujinga mtupu 😂😂😂
 
Back
Top Bottom