Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,954
- 27,948
AFCON tutahost pekee yetu juu CAF can't afford the embarrassment za Stadiums being empty.Acheni ujinga wa kulazimisha kuingia bure hii ni chan tuu mnafanya huu ujinga afcon je itakuaje
AFCON tutahost pekee yetu juu CAF can't afford the embarrassment za Stadiums being empty.Acheni ujinga wa kulazimisha kuingia bure hii ni chan tuu mnafanya huu ujinga afcon je itakuaje
Ziamishwe Tanzania yet hamuendi kuangalia mpira?🤣🤣😂Hizi mechi zihamishiwe Tanzania 🇹🇿, hawa wakundustan hawana adabu.
When was the last time a 30 floor building was constructed in Dar is slum?🤣🤣🤣 hebu amka ndotoni utajinyea wewe.
Kwani lazima kujenga gorofa iwe 30 floors wewe shamba boy.? 🤣🤣🤣When was the last time a 30 floor building was constructed in Dar is slum?
Wakundustan wanazidi kukimbiwa, nakumbuka the entire coast tourism belt of Kunyaland ilikua dominated na Italians, most properties were owned by the Italian tycoons lakini now all abandoned, cha ajabu utashangaa watafake data waoneshe walipokea watalii wengi na mapato mengi
View: https://x.com/TheCitizenTz/status/1954464966162977093?t=_sNzpYFaOvke3QyRs49Zwg&s=19
Mwaka huu tu, mna VURUGU, huo mwaka 2027 mna uchaguzi itakuwaje??AFCON tutahost pekee yetu juu CAF can't afford the embarrassment za Stadiums being empty.
When you crashed our discussion kwani uliona tukidiscuss about 5 floors buildings?Kwani lazima kujenga gorofa iwe 30 floors wewe shamba boy.? 🤣🤣🤣
Na ndio bado tutapea hosting rights za opening and final matches.Mwaka huu tu, mna VURUGU, huo mwaka 2027 mna uchaguzi itakuwaje??
Mnakuanga very delusional. This same fake story mmezaliwa mkaipata na bado mnaiendeleza in this era of internet? In your mind you think Mzungu can't just Google those places like Ngorongoro to know which country it's situated in? Ama hao watalii ni watoto that they have to be told everything by Kenya airways officials?Huko US na Ulaya, Kenya Airways inawauz kwa watalii kuwa itawapeleka Ngorongoro, Serengeti, Kilimanjaro.
Juzi niko sehemu nikamuoma chawa amevaa shati la kijani halafu kwenye "screen saver" ya simu ameweka picha ya "mama" ujinga mtupu 😂😂😂Dah ni hatari, ila kuna watu wanatulaumu eti tunapenda mpira wa Simba na Yanga.
Unaona kabisa siasa zimezidi.
Utachagua lipi utoke uende Uwanjani or upitie bars or restaurants, screen HD vinywaji, hakuna fala wa Mama Mama.
Unaenjoy mpira ukimaliza unageuza home.
Or uende Uwanjani ukute ufala na siasa nyingi? Like seriously tumezidi sasa na inaanza kukera
Wana utoto mwingi sana hawa nyangau ndio kwanza wanaona sprinklers kwenye stadium zao nakudhani wameendelea.Nasubiri kuona namna anavyo change gear. 😂😂😂
Nani kapinda? Wapi watendaji hawamuogopi Rais?huyu jamaa ndio alitakiwa kua rais wa tanzania yani jamaa kanyoka sana na watendaji wake wanamuogopa na wanafanya kazi vzr 👍👍👍👍
CBD nairobi kuna barabara za tope achilia mbali vumbi 😂😂😂😂😂Hata huna aibu kutuonyesha barabara za vumbi.
na hizo money markets funds hela zao wanaweka kwenye mifuko ya rambo?Kenyans store their money in money market fund accounts. Mambo ya bank accounts tulishawaachana nazo kitambo cause there is no interest you will get in keeping your money in the bank.
Ebu tuonyeshe hizo barabara tuone.CBD nairobi kuna barabara za tope achilia mbali vumbi 😂😂😂😂😂