NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,388
- 17,971
Si mliomba msamaha bwana Mtombwe? Ushaasahau?How long did that ban last?
Lakini pia, kumbe wanao-export hao mahindi siyo Wakenya tena??
Si mliomba msamaha bwana Mtombwe? Ushaasahau?How long did that ban last?
Lakini pia, kumbe wanao-export hao mahindi siyo Wakenya tena??
Wanasema Healthy foods, maana yake wameshaanza kula GMOsNataman mwaka huu tufunge mpaka waanze kununua mchele wa Tanzania kupitia madalali wa Uganda🤣🤣🤣
Usisahau hizi vilio.😂😂😂Nataman mwaka huu tufunge mpaka waanze kununua mchele wa Tanzania kupitia madalali wa Uganda🤣🤣🤣
Giza stadiums!Yet it will be the venue for the Finals. Kama hufurahishwi then peleka malalamishi kwa CAF.
Maswala ya kilimo mngeacha kupost kwa kweli.
Ni mwendo wa kuchukua makaburi tuu 😂😂😂😂😂😂👇👇
View attachment 3436817View attachment 3436818View attachment 3436819View attachment 3436820View attachment 3436821
My Take
Jipangeni 2030
View: https://www.instagram.com/p/DNIWkXmMkIJ/?igsh=OTFyamh1OXg0aDRz
Who are you to tell us what to do?Maswala ya kilimo mngeacha kupost kwa kweli.
Wakenya bhana. Sasa hayo majenereta ya nini wakati watu wanatumia solar power na connections from national grid. Inaonesha namna kenya bado ipo primitive.
Watu wanao walisha.Who are you to tell us what to do?
Huku Tanzania wanasambaza vifaa vya kilimo. Nyie mnapewa jenereta za kuwashia TV na kunyolea nywele
Duh kweli hatufanani asee.Huku Tanzania wanasambaza vifaa vya kilimo. Nyie mnapewa jenereta za kuwashia TV na kunyolea nywele
View attachment 3436860
Hivi kuna studio za kisasa East and central Africa kushinda hizi, hazipo ila najua kondoo watajitutumua kulazimisha. 😂😂😂
View: https://x.com/okellodixon/status/1954135758366732696?s=46
😂😂😂Haya manyang'au yanadhani bado tupo kwenye enzi ya vijiji vya ujamaa😁🤣