Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Brother unajihangaisha tu. Hizo nyumba ulizoweka humu zinachukua 0.001% ya whole Nairobi. Kila mtu duniani anajua the First and the second largest slums in the world dwell in the heart of Nairobi.
 
Brother unajihangaisha tu. Hizo nyumba ulizoweka humu zinachukua 0.001% ya whole Nairobi. Kila mtu duniani anajua the First and the second largest slums in the world dwell in the heart of Nairobi.
Endelea kuumia🤣
FB_IMG_1754162796855.jpg
images - 2025-04-26T012611.900.jpeg
images - 2025-07-08T130648.060.jpeg
images - 2025-07-09T145326.429.jpeg
IMG_2764.jpeg
images - 2025-07-09T145239.917.jpeg
images - 2025-08-08T151227.667.jpeg
images - 2025-04-26T012824.599.jpeg
images - 2025-05-30T115217.478.jpeg
images - 2025-04-12T083655.807.jpeg
decf3c61-8f0f-4a44-82f2-273821ecf8f4.jpeg
 
Hivyo vipimo ni vya wakopeshaji, wanaangalia metrics zinazowanufaisha tu.

Ndio maana wanaokaza fuvu mambo ya GDP, GDP per Capita ni MAJUHA tu.

Yaani mimi nina debe la unga ndani, mchele, mboga za majani, kuku bandani kwangu, Mimi napata parachichi bure, chungwa au embe.

Unahesabu vipi kipato changu na kwamba natumia dola moja kwa siku?
Haya unayosema tumesha yaongea sana hapa.

Niliwahi hata kupiga picha kwenye vending machine kuonesha thamani ya vitu utavyoweza kununua kwa $1. Nikahoji, hiyo $1 Marekani sana sana utanunua a pack of chewing gum, basi.

Wakati Tanzania unapata mlo au hata milo ya organic food na kushiba vizuri. Chakula hicho hicho kwa US itakugharimu si chini ya $30

Sasa ndo hapo utaona hizi GDP zimetengenezwa kama psychological tools za kuwafanya wengine wajisikie wanyonge.
 
Keep living in Mabati houses for K3,000 a month.

Dumbest.

No wonder kila mkunya na ndoto za kuishi kwenye APARTMENTS.
We don't have that dream, we already live in them while you live in crowded uswazi hovels spread all over the place
images - 2025-01-24T122612.220.jpeg

Apartments are virtually everywhere in Kenya's big towns and cities so don't worry about them. This is Kisumu
FB_IMG_1753505686917.jpg
FB_IMG_1752037702583.jpg
FB_IMG_1752037742614.jpg
FB_IMG_1747734932889.jpg
FB_IMG_1747734896389.jpg
FB_IMG_1747734947519.jpg
FB_IMG_1745395567735.jpg
FB_IMG_1740063353117.jpg
FB_IMG_1740062668972.jpg
FB_IMG_1740062659128.jpg
FB_IMG_1740062837327.jpg
FB_IMG_1740063074630.jpg
FB_IMG_1740063176717.jpg
 
We don't have that dream, we already live in them while you live in crowded uswazi hovels spread all over the place
View attachment 3435857
Apartments are virtually everywhere in Kenya's big towns and cities so don't worry about them. This is Kisumu View attachment 3435858View attachment 3435859View attachment 3435860View attachment 3435861View attachment 3435862View attachment 3435864View attachment 3435866View attachment 3435868View attachment 3435870View attachment 3435872View attachment 3435873View attachment 3435877View attachment 3435878
Hizo nyumba unazoleta nyingi zimeshaanza kuvunjwa.
Pia maeneo mengi hayo ni changanyikeni tukikuletea ushuwani na mid class hukai hapa bro.
 
Hiv kweli kiongozi namba mbili kwa nchi anaongea maneno kama hayo kweli hapana hata Lowasa alipo hama CCM hakuwahi kuongea chochote kile kinacho ihusu Tanzania negative ila wanusa gundi ukabila tamaa ya madaraka uchonganishi vyote vyao kazi kwelikweli
Hivi kuna taifa la Africa limeharibiwa akili na wazungu kama wakundustan? Hapo ni ili zile organs za UN zinazotaka kurelocate employees wake Kunyaland wasisitishe mpango.
 
Back
Top Bottom