Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sijaelewa kwamba
 
Toka kwa barabara mzee. Hii tunaona ni main road.
Tuonyeshe picha za hao ndani mita kumi 😂 😂 😂
Nishaleta picha labda hujaona.
Mtaa wa Tolori kwenda maduka mawili.
images-3.jpg
 
Bro, zimevunjwa na nani wakati kila siku mnatuambia kwamba wakazi wa Dar wanamiliki ardhi na hizo nyumba? Nani kazivunja?
Khaaa kwani hakuna matajiri wanaoununua nyumba na kujenga makazi ya kupangisha?
Ngoja nikuletee mfano.
 
Bro, zimevunjwa na nani wakati kila siku mnatuambia kwamba wakazi wa Dar wanamiliki ardhi na hizo nyumba? Nani kazivunja?
Umeona hapo Tandika?
Huo upande wa hilo gorofa nyumba za pembeni zote hapo zimenunuliwa na mjengaji wa hilo gorofa.
Zote zinasubiriwa kuvunjwa ziinuke gorofa.
Hiyo ni Tandika.
images-4.jpg
 
Sijaelewa kwamba
GDP per Capita 😂😂😂 Djibouti ipo juu ya Kenya.
Ila umeiona hiyo Djibouti yenyewe!?
😂😂😂Mavi matupu kwa ground.
 
Back
Top Bottom