concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,300
- 14,330
Naona trip ya nne ya dar Dom inaenda kuongezeka, maana mabehewa nahisi yalikuwa changamoto.
Naona trip ya nne ya dar Dom inaenda kuongezeka, maana mabehewa nahisi yalikuwa changamoto.
MImi niliandika Lang'ata na Kibera. Wewe hapo ni wapi?Wewe yako uliandika ni wapi? View attachment 3435910
Nishaleta picha labda hujaona.Toka kwa barabara mzee. Hii tunaona ni main road.
Tuonyeshe picha za hao ndani mita kumi 😂 😂 😂
Khaaa kwani hakuna matajiri wanaoununua nyumba na kujenga makazi ya kupangisha?Bro, zimevunjwa na nani wakati kila siku mnatuambia kwamba wakazi wa Dar wanamiliki ardhi na hizo nyumba? Nani kazivunja?
Umeona hapo Tandika?Bro, zimevunjwa na nani wakati kila siku mnatuambia kwamba wakazi wa Dar wanamiliki ardhi na hizo nyumba? Nani kazivunja?
GDP per Capita 😂😂😂 Djibouti ipo juu ya Kenya.Sijaelewa kwamba
![]()
Tuko.co.ke
ICYMI: Kenya is ranked third among the richest countries within the East African economic block, which has 13 countries. List of the top seven in comments. Photos: William Ruto, Samia Suluhu (Facebook).www.facebook.com
That’s a very primitive thing to say… you really lack exposure… Uswazi mentality at it’s best..😁😄Houses that LOOK ALIKE. Owned by companies.
Shame
🤣 🤣 🤣 🤣 Tangu dunia yetu iumbwe ni nchi ni Kenya na South Sudan pekee watu wanakufa kwa njaaThat’s a very primitive thing to say… you really lack exposure… Uswazi mentality at it’s best..😁😄
Pitch ya Uwanja wa Mkapa ndio mbovu kuliko zote.Uganda wana Pitch bora
Uwanja Mpaka Raha
Sasa unatuletea ripoti ya 2004 lakini Sisi tukikuletea ya 2022 unalia😂😂🤣.
Hizo shack ati rent ni $50?😂😂😂Sinza is for commoners in Tanzania.
Hata rent ni $50.
For Kunya it's middle class.
Jana kuna pitch ukibutua mpira tope jeusi la nyasi lina linaruka. 😂😂😂Uganda wana Pitch bora
Uwanja Mpaka Raha
Huoni hiyo ni temporary house and the main house is being built just next to it? Ama ungekuwa kipofu siku hizi?Sisi hatukatai barabara za mitaani ni changamoto kwa Dar ama Tanzania kiujumla hilo halikataliwi.
Unatuelezeaje Mkenya kujipanga na kujenga nyumba ya mabati!?View attachment 3435804
You are allergic to city planning.Houses that LOOK ALIKE. Owned by companies.
Shame