President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,013
- 93,380
This is very very beutiful photo. Inafanana kabisa na Geneva Switzerland 😍😍😍😍
This is very very beutiful photo. Inafanana kabisa na Geneva Switzerland 😍😍😍😍
In 10 Years Population ya Mwanza itafanana na Nairobi. Huku Dar es salaam ikibaki kuwa Mega City in East AfricaTanzanians live everywhere. Tarmac toad are built widely, not only Dar es Salaam.
TZ siyo Kunya, wherw everything is in Nairobi.
View attachment 3435793
Shifting goal posts, bado tuko hapa Kwa middle class na barabara za vumbi.Tanzanians live everywhere. Tarmac roads are built widely, not only Dar es Salaam.
TZ siyo Kunya, where everything is in Nairobi.
View attachment 3435793
Muache ajikaange sasa hivi.Yaani huu ni mwaka 2025 bado tu unajivunia lugha ya mkoloni wako; aisee kazi ipo😁
Sinza is for commoners in Tanzania.
Hii picha nzuri sana. When you zoom inaonekana bomba sana. Nimependa roofing style ya Tanzania. Is the best in this planet.
Sisi hatukatai barabara za mitaani ni changamoto kwa Dar ama Tanzania kiujumla hilo halikataliwi.
In 10, hawa Wakunya wataanza kutepeta.In 10 Years Population ya Mwanza itafanana na Nairobi. Huku Dar es salaam ikibaki kuwa Mega City in East Africa
Kenya inapoteana siyo muda mrefu. Kila mtu kwa sasa anaikimbia kenya. Wamebaki ving'ang'anizi tu akina Teargass na nairobaeIn 10, hawa Wakunya wataanza kutepeta.
Arusha kuna:
- Mount Kilimanjaro international airport
- AFCON, SAFARI city chini ya NHC
- Samia Stadium
Tanga kuna:
- EACOP
- Tanga Port Project
Mwanza kuna:
- Lake Victoria maritime project.
Arusha inatafuna Nairobi.
Zanzibar inatafuna Mombasa.
Wakunya wenye vipesa, vacation otakuwa Tanzania.
Hivi milango ya chuma ya style hii kweli si inafaa kwenye stop za vyakula au magodownSisi hatukatai barabara za mitaani ni changamoto kwa Dar ama Tanzania kiujumla hilo halikataliwi.
Unatuelezeaje Mkenya kujipanga na kujenga nyumba ya mabati!?View attachment 3435804
Milango ya chuma au milango ya mabati hiyo mkuu!?Hivi milango ya chuma ya style hii kweli si inafaa kwenye stop za vyakula au magodown
Wakunya ni changamoto.Sisi hatukatai barabara za mitaani ni changamoto kwa Dar ama Tanzania kiujumla hilo halikataliwi.
Unatuelezeaje Mkenya kujipanga na kujenga nyumba ya mabati!?View attachment 3435804
Hata vile vigorofa vyao vya kwa Mukuru kwa Reuben havijapigwa hata plaster.Wakunya ni changamoto.
Hivi ni haramu kujenga nyumba ya Tofali au finishing.
Makazi ya Kenya yako aina tatu.
- Mabati
- Wakijenga kwa tofali, hakuna finishing
- Kukiwa na finishing nyumba ya tofali, ni nyumba za makampuni, estates au satelleite cities.
Sasa si Bora ujenge na tofari za kuchoma kama ni kuokoa gharama, kwao itakuwa sifa kuwa na mabati🤣🤣🤣🤣Hata vile vigorofa vyao vya kwa Mukuru kwa Reuben havijapigwa hata plaster.
Zingine tofali zimepinda.
Yani hovyo hovyo.Mtu anajipanga kabisa kujenga nyumba ya mabati na ikikamilika anajisifu kabisa kuwa Yeees nimejenga.
Shaaabaaash mbugila tope hawa mbunye fii hadhaa kabisa.
Nimecheka sana. Wapo ndani ya Nairobi - Jogoo Rd, Nairobi, KenyaSisi hatukatai barabara za mitaani ni changamoto kwa Dar ama Tanzania kiujumla hilo halikataliwi.
Unatuelezeaje Mkenya kujipanga na kujenga nyumba ya mabati!?View attachment 3435804
You should come for some benchmarking. Paved roads almost everywhere. And even city planning is something to mention too.Ni sahihi wala hatupingi Dar maeneo mengi hayana barabara za mitaani.
Ila hatuna majengo ya mabati kama Kenya.
Kenya suala la makazi ni changamoto.Sasa si Bora ujenge na tofari za kuchoma kama ni kuokoa gharama, kwao itakuwa sifa kuwa na mabati🤣🤣🤣🤣
Hata mimi nashangaa sana.Sasa si Bora ujenge na tofari za kuchoma kama ni kuokoa gharama
Houses that LOOK ALIKE. Owned by companies.You should come for some benchmarking. Paved roads almost everywhere. And even city planning is something to mention too. View attachment 3435780View attachment 3435781View attachment 3435783View attachment 3435785View attachment 3435811View attachment 3435812View attachment 3435813View attachment 3435815
Kwa Tanzania bado sana upande wa barabara za mitaani.You should come for some benchmarking. Paved roads almost everywhere. And even city planning is something to mention too. View attachment 3435780View attachment 3435781View attachment 3435783View attachment 3435785View attachment 3435811View attachment 3435812View attachment 3435813View attachment 3435815