Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maabara ya kilimo Tanzania. Wakenya hawaamini macho yao. Mtafika huku mmechoka sana

1754649126607.png


1754649167008.png


1754649219210.png
 
The Tanzania Mercantile Exchange (TMX) is the first commodity exchange market in Tanzania
Hapa unaweza kununua mazao ya kilimo popote ulipo duniani. Wakenya wanaandamana tu.



Hii ndio inaitwa real digitization. Wakenya wanakodoa macho tu. Hakuna kununua mazao mashambani TZ.
 
Bwege ndio umuambie kunyan mwenzako aliedai kisirani ni emirates,maku fanyeni mvuke border mje kusafisha macho kidogo
Hasira zako peleka Tandale bongolala. Makwapa ilipata water sprinklers kwa mara ya kwanza mwaka gani kilaza wewe?
 
2022 are you really serious!?
Mkitukanwa mnasema hatuna adabu.
2022 hadi sasa miaka mingapi?View attachment 3435664
FRom 2022 to 2025 is only 3 yrs. Ebu tuonyeshe kama there is anything imechange
Everyone has seen it and we have agreed that there are no HD channels in Kenya, that's why they are crowding the stadium to watch. Kenya is not digitized

People are asking, what TV do you own?
This is the latest excuse I have ever seen 🤣🤣😂🤣.

So wale wazungu wenye wanazaja 100k stadium capacity pia hawana HD channels nchini kwako?🤣🤣😂🤣
 
Hasira zako peleka Tandale bongolala. Makwapa ilipata water sprinklers kwa mara ya kwanza mwaka gani kilaza wewe?
Maku najua ukunyan ushamba mwingi,for first time ndio mnaona water sprinklers,hata match za usiku ndio mara ya kwanza huko ukunyan,mkapa since 2007 ipo standard hiyo,na kwa TZ hata mkwakwani na kaitaba zina hivyo vitu,washamba nyie
 
Sasa hiyo si diversion ya Barabara.

Main road ya Mkuyuni Mwanza iko inajengwa. Na Anyway SGR pia kwa juu Ujenzi unaendelea

Sometimes tumia akili. Usishikwe akili
Sasa kama diversion ya Mwanza inakaa hivyo, that tells a lot about the roads in bongongoslum.
 
FRom 2022 to 2025 is only 3 yrs. Ebu tuonyeshe kama there is anything imechange

This is the latest excuse I have ever seen 🤣🤣😂🤣.

So wale wazungu wenye wanazaja 100k stadium capacity pia hawana HD channels nchini kwako?🤣🤣😂🤣
Tanzania tupo na kila kitu. Kenya mnajivunia nini?
 
Back
Top Bottom