Ndio maana wanauchumi wengi wa Asia wakawa wanasema criteria zinazotumika ni non-factual na fictious.Shida yetu kubwa ni COPY and PASTE na takwimu uchwara.
Ndio maana unakuta mtu yuko Ulaya, anaishi nyumba ya kupanga, anaendesha gari la mkopo (credit card), anakula GMOs lakini anahisi ana mafanikio.
===
Wakati huo huo, huyu ankaa kwake, halipi kodi ya nyumba, anakula organic food na mifugo kama ng'ombe, mbuzi, kuku.
Unasema mtunanaishi chini ya Dola moja. Hiyo dola moja haiwezi kununua hata kilo.moja ya mchele anaokula huyu mtu.
KUna Black americsn mmoja, alikuja TZ anasema huwa akija ndio anakula kilo nzima ya Bamia, kwasababu akiwa US hawezi kumudu gharama.
View attachment 3435642
Mbona hawatumii rial kama kipimo na wanatumia dola?
Rial moja sawa na dola 2 naa.