Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa hizi stats wangekuwa wanajua Mpira wangenyamaza tu kwa aibu, bahati mbaya hawajui mpira ndio maana kelele ni nyingi humu.
Noma sana. 😂😂😂
View attachment 3435380
Those stats are understable in football when you are playing with a man down for 70 minutes and still hold your opponent to a draw. Ingekuwa ni nyinyi sijui mngelimwa mabao ngapi!
 
Hivi mnuka mavi mnamuelewa lkn? Ameshaona hawawezi kutoboa now kabadili uelekeo, ameanza kuongelea mambo ya mashabiki ili wakitoka apate Ku shift goal post, sasa Tz ya kufananisha na Kenya kweli kwa upande wa mashabiki? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mashabiki wenyewe ndio hawa sasa viti vya kijani kibichi
FB_IMG_1754333049062.jpg
 
Wakati ninyi mnashikilia vitu visivyorudisha faida kwa raia Tanzania tunawekeza kwa raia Moja kwa moja.
Miundombinu ya maji, miundombinu ya kilimo, miundombinu ya kadha wa kadha.
Sasa sijui hao maskini wenu wa Mukuru watakula barabara!?
Wakati raia wenu wanalilia ukosevu wa ajira Tanzania inatoa mikopo isiyo na riba kupitia halmashauri zake ili kuinua vijana.
Ninyi endeleeni na umbugila tope wa barabara na flyover.
Kwamba barabara sio muhimu kwa mtanzania? Mnapenda sana kujifariji mapungufu yenu yakiwekwa wazi
 
Kama kawaida Republic of Talkovia aka Mouthnationa Republic, Kundustan taarifa imeandikwa 2020 sasa hivi tunaingia 2026 huoni kuwa wewe ni mwehu?
Kwanza inahusu nini hiyo taarifa maana mie post za Twitter hazifungukagi kwangu.
 
Malizeni njaa huko Kenya na msaidie watu kwenye slums pia msaidie watu wasio na Kazi.
Hivi una habari kuwa madaraja ya hapo Kenya watu wanaishi ndani ya penyo zao?
Tena wanaishi familia kabisa zaidi ya Tano au sita au zaidi.
70% of Tanzanians live in slums.
 
Back
Top Bottom