Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenyans are very passionate about football. This guy smashed his TV after the Angolan second goal which was later disallowed.

View attachment 3435561
Kaka hii ni Television ni yako?! si kama umeziba jicho moja tu kwa jinsi ilivyopasuka?, vipi ni watoto au mlikuwa mkipigana na mkeo, maana kuna alama hapo ya chanzo cha mpasuko! Dont fight with bibi yako plz
 
Kabla hii tournament haijaisha mnuka mavi atakuja akuambie hii ni league ya amateur, we subiri uone, na yule mlevi mwingine BlietzKrieg atakuja akuambie michuano takataka hii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ofcos It's an amateur tournament.
Watu ni kuEnjoy tu vile Iko.
Yet we still jaza stadium.
What about afcon kina mbeumo onana Sarr Salah etc wakiwa?
WAKENYA watajaza Hadi iyo stadium ya ARUSHA!!!
 
Kaka hii ni Television ni yako?! si kama umeziba jicho moja tu kwa jinsi ilivyopasuka?, vipi ni watoto au mlikuwa mkipigana na mkeo, maana kuna alama hapo ya chanzo cha mpasuko! Dont fight with bibi yako plz
Kiingereza ndio huelewi ama?
 
Ofcos It's an amateur tournament.
Watu ni kuEnjoy tu vile Iko.
Yet we still jaza stadium.
What about afcon kina mbeumo onana Sarr Salah etc wakiwa?
WAKENYA watajaza Hadi iyo stadium ya ARUSHA!!!
Hakuna Sports HD channels Kenya. Nani akae kwenye black and white TV kwaajili ya ku watch football? 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Ndio maana kila mkenya ndoto yake ni kufika kuona mpira bila TV aka KBC
 
Back
Top Bottom