Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,975
- 27,976
Ingekuwa Rank inacheza mpira basi Angola na DRC wangetushinda. Wewe kila siku utabaki kuwa quack😂😂Unadhani rank inakujaje bila kucheza Mpira?
Ingekuwa Rank inacheza mpira basi Angola na DRC wangetushinda. Wewe kila siku utabaki kuwa quack😂😂Unadhani rank inakujaje bila kucheza Mpira?
Senegal ya ngapi vileee 👇👇🤣🤣🤣🤣It's the only team kwa top 100 kwa hio group yenu. Nyinyi wengine wote si mko bottom 100. 🤣 🤣 🤣
Tunaongelea CHAN, kwa group yenu team moja pekee ndio iko top 100. Ukweli uongo?Na Sudan kusini ambao waliwafunga wapo kwenye rank ipi?
Aya tuambie.
Senegal ya ngapi vileee 👇👇🤣🤣🤣🤣It's the only team kwa top 100 kwa hio group yenu. Nyinyi wengine wote si mko bottom 100. 🤣 🤣 🤣
Unatuletea friendly match, huna hata aibu.Senegal ya ngapi vileee 👇👇🤣🤣🤣🤣View attachment 3435411
Walipokuwa juu ya bongo huyo nyang’au kila siku alikuwa anatamba eti leo ndio anajifaya ndizi mbichi hizi😂Unadhani rank inakujaje bila kucheza Mpira?
Rank ndio Ina determine ubora wa timu kwa wakati huo.
Unadhani sisi tumewashushaje ninyi kirank?
Mbugila tope wewe
Kwenye hii tournament huna cha kuongea na football nation, ina points 6, imezifunga team ambazo hamzikuti kiubora wala kwa rank.Unatuletea friendly match, huna hata aibu.
Watanzania wameanza kujidharau😂😂😂😂
View: https://x.com/1Cypher0/status/1953502438998053009
Hata hiyo friendly match mliogopa mkajifanya kukimbia ha ha ha😎Unatuletea friendly match, huna hata aibu.
CAF wameshawapiga faini au unajisahaulisha?😎Na wajue CAF walisema watatumia hii tournament kupanga AFCON...
Hatuwezi cheza huko kwa vichaka, tunajiheshimu.Hata hiyo friendly match mliogopa mkajifanya kukimbia ha ha ha😎
Very soon tunaingia upper middle income. Already we are halfway there.
View: https://x.com/IanECox/status/1953490795043922157
Hamna lolote, mmekimbia kichapo😂Hatuwezi cheza huko kwa vichaka, tunajiheshimu.
The signs are there, wewe endelea kujidanganya.Unaruhusiwa kuota ndoto🤣