Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tumeishi kuwaambia hapa hawatakangi kuskia. Bongolala wanajua tu Simba na Yanga.
Kenya sports zote hujaa. Rugby, Rally, Athletics, Football, Basketball. Hata high school games hua zinajaa.


View: https://x.com/PolycarpMDM/status/1953501807411372168

Leo hii kelele wamekuwa wakitupigia humu kitaisha. Walidhani hii competition itatuvua nguo alafu wao ndio wanavuliwa. I'm sure AFCON mambo yatakuwa hivo hivo. 🤣 🤣
 
Watu hawahudhurii mechi za stars kwakua timu za taifa hazifanyi vyema na makocha ni wabovu. But with all that, tunashinda mechi kwajili ya ubora waligi yetu.

Hili swala la usafiri ni ujinga kuongelea. Huwezi fananissha maroli ya mizigo na usafiri Dar.
Hata games za visiting teams bado viwanja ziko empty kwanza sana. Mukubali tu hosting imewashinda. The stadiums are always empty, day in day out.
 
The last time we were in AFCON tuliwagonga tatu😂😂😂😂.

Tanzania is the only country in the histroy of AFCON without a win in that competition😂
Jichekeshe na Mavi ya kale ila kwa rekodi za sasa Tanzania ipo juu kwa viwango kuliko Kenya.
Usisahau wewe wa 109 na TZ ya 103,una misimu miwili hujashiriki AFCON.
Endelea na mavi ya kale.
 
Hata CAF wamekubali. 😎

Image
Huu uwanja hauna hadhi ya ku host michuano mikubwa, ni aibu sanaa kwa huo ukanda wenu wa EA.
 
Last time walilaumu DRC hawachezi vizuri. Leo hii wanalaumu Angola. Sunday watalaumu Morocco. Yani jamaa haziwezi kubali kusema Harambee Stars ni wanoma. Imagine pale wanapoangalia mpira zile hasira ziko hapo. 🤣 🤣
Tulaumu Angola wakati wamewatomba na mpira wamewachezea, mda wote mlikaa nyuma na goli mkapigwa, c mshukuru CAF, refa kaambiwa asiende kwenye VAR akatae tu goli, kwenye mpira nyinyi bado sanaa. Hii michuano ndo itaonesha nani baba kwenye huu ukanda wenu usiojua mpira.
 
Leo hii kelele wamekuwa wakitupigia humu kitaisha. Walidhani hii competition itatuvua nguo alafu wao ndio wanavuliwa. I'm sure AFCON mambo yatakuwa hivo hivo. 🤣 🤣
Stars ina point 6 mnusa gundi, nyie hampiti hilo group, mko hovyo, yn mpira mnaocheza ni kama ule tulikuwa tunacheza 10 yrs back, no wonder last time tuliwafumua bao 4🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tulaumu Angola wakati wamewatomba na mpira wamewachezea, mda wote mlikaa nyuma na goli mkapigwa, c mshukuru CAF, refa kaambiwa asiende kwenye VAR akatae tu goli, kwenye mpira nyinyi bado sanaa. Hii michuano ndo itaonesha nani baba kwenye huu ukanda wenu usiojua mpira.
Kwa hizi stats wangekuwa wanajua Mpira wangenyamaza tu kwa aibu, bahati mbaya hawajui mpira ndio maana kelele ni nyingi humu.
Noma sana. 😂😂😂
IMG_5192.jpeg
 
Natamani tukutane na hawa wanuka mavi wakione cha moto sema ndo ivyo hatuwezi kukutana nao cz watatoka mapema, last time tuliwafumua 4 na bado wanapanua miku.ndu yao myeusi yenye mbolea kuongea na watanzania hapa.
 
Back
Top Bottom