Jichekeshe na Mavi ya kale ila kwa rekodi za sasa Tanzania ipo juu kwa viwango kuliko Kenya.The last time we were in AFCON tuliwagonga tatu😂😂😂😂.
Tanzania is the only country in the histroy of AFCON without a win in that competition😂
Usisahau wewe wa 109 na TZ ya 103,una misimu miwili hujashiriki AFCON.
Endelea na mavi ya kale.