Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 26,960
- 27,955
Yes. Huwezi linganisha Burkina Faso with any team in the Kenyan and Ugandan group.Burkina Faso viwete!?
Ona hii kiazi.
Tafuteni sababu ila Kenya mpira hamunaaa!
Yes. Huwezi linganisha Burkina Faso with any team in the Kenyan and Ugandan group.Burkina Faso viwete!?
Ona hii kiazi.
Tafuteni sababu ila Kenya mpira hamunaaa!
Aibu ni kushindwa kujaza Amani Stadium of 7k seats😂😂😂Huu uwanja hauna hadhi ya ku host michuano mikubwa, ni aibu sanaa kwa huo ukanda wenu wa EA.
Very good stats for playing with 10 men.Kwa hizi stats wangekuwa wanajua Mpira wangenyamaza tu kwa aibu, bahati mbaya hawajui mpira ndio maana kelele ni nyingi humu.
Noma sana. 😂😂😂
View attachment 3435380
We ni makalio Burkina Faso iko juu ya Zambia na Angola kirenki ya Fifa.Yes. Huwezi linganisha Burkina Faso with any team in the Kenyan and Ugandan group.
Nenda kacheze rede.Very good stats for playing with 10 men.
Kha! Yaani nyang’au ni kama watoto wadogo vile😂Kwa hizi stats wangekuwa wanajua Mpira wangenyamaza tu kwa aibu, bahati mbaya hawajui mpira ndio maana kelele ni nyingi humu.
Noma sana. 😂😂😂
View attachment 3435380
Pass accuracy 65% kukiwa na maana walikuwa wanabutua bila plan. 😂😂😂Kha! Yaani nyang’au ni kama watoto wadogo vile😂
Kabla hii tournament haijaisha mnuka mavi atakuja akuambie hii ni league ya amateur, we subiri uone, na yule mlevi mwingine BlietzKrieg atakuja akuambie michuano takataka hii 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nenda kacheze rede.
Rank haiechezi ball Mr. Quack.😂😂😂😂We ni makalio Burkina Faso iko juu ya Zambia na Angola kirenki ya Fifa.
The games in Nairobi zimejaa vaibu, kwa bongolala utadhani kuna matanga. 🤣 🤣 🤣
View: https://x.com/bedjosessien/status/1953538763747209234
It's the only team kwa top 100 kwa hio group yenu. Nyinyi wengine wote si mko bottom 100. 🤣 🤣 🤣We ni makalio Burkina Faso iko juu ya Zambia na Angola kirenki ya Fifa.
Na Zambia wanawabaka na Angola nao nusu wawabake leo.
Unadhani rank inakujaje bila kucheza Mpira?Rank haiechezi ball Mr. Quack.😂😂😂😂
Na Sudan kusini ambao waliwafunga wapo kwenye rank ipi?It's the only team kwa top 100 kwa hio group yenu. Nyinyi wengine wote si mko bottom 100. 🤣 🤣 🤣