concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
The highest revenue collection on Kenyan football ni 7.3mil almost tsh 148mil Tena mechi kubwa baina ya gor mahia versus afc leopards , hiyo ikicheza simba na yanga ni mara tatu yake akicheza Azam na singida labda kidogo ndo atalingana na hii yenu🤣🤣🤣🤣Munaletea Jumuiya aibu with your empty stadium. Yani bila Simba na Yanga hakuna cha maana huko bongoslum.