Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

aliekwambia mshahara wake ni 50k nani?? hebu leta mshahara wake hapa tuangalie wote kondoo wewe

signing fee yake tu over 19m ksh alaf apewe salary ya 50k ww ni wazimu wa kichwa 😂😂😂😂😂
Leta evidence kwamba sio 50k.
 
Kuna video niliona Kuna Mkoa raia wanatupa Kadi za uanachama CCM na wanarudisha baiskeli.
Hakuna awamu CCM imebugi ama awamu hii ya Samia Suluhu.
Daah ni basi tu tupo TZ ila hakuna kiongozi wa hovyo kama huyu mama kuwahi kutokea.
Hii awamu ina shida, machawa wameamua tu kujizima data kwa manufaa binafsi. 😂😂😂
 
Affordable housing in Mombasa. We are clearing all the shacks in Kenya.

May be an image of timber yard

No photo description available.
 
View attachment 3429760
Hii ndio hiyo picha uliyoipost sasa hivi maku,zoom urself
17:01 it was halftime.., guys had stepped out of their seats kuenda wash rooms and stretching a bit.., yaani kwa kulazimisha hamjambo., kubalini tu ukweli.., seats are 48,000, CAF approved 44,000 tickets for safety reasons.., and it is the trend across East Africa..,
 
Back
Top Bottom