Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

aliekwambia mshahara wake ni 50k nani?? hebu leta mshahara wake hapa tuangalie wote kondoo wewe

signing fee yake tu over 19m ksh alaf apewe salary ya 50k ww ni wazimu wa kichwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Leta evidence kwamba sio 50k.
 
Kuna video niliona Kuna Mkoa raia wanatupa Kadi za uanachama CCM na wanarudisha baiskeli.
Hakuna awamu CCM imebugi ama awamu hii ya Samia Suluhu.
Daah ni basi tu tupo TZ ila hakuna kiongozi wa hovyo kama huyu mama kuwahi kutokea.
Hii awamu ina shida, machawa wameamua tu kujizima data kwa manufaa binafsi. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Affordable housing in Mombasa. We are clearing all the shacks in Kenya.

May be an image of timber yard

No photo description available.
 
View attachment 3429760
Hii ndio hiyo picha uliyoipost sasa hivi maku,zoom urself
17:01 it was halftime.., guys had stepped out of their seats kuenda wash rooms and stretching a bit.., yaani kwa kulazimisha hamjambo., kubalini tu ukweli.., seats are 48,000, CAF approved 44,000 tickets for safety reasons.., and it is the trend across East Africa..,
 
17:01 it was halftime.., guys had stepped out of their seats kuenda wash rooms and stretching a bit.., yaani kwa kulazimisha hamjambo., kubalini tu ukweli.., seats are 48,000, CAF approved 44,000 tickets for safety reasons.., and it is the trend across East Africa..,
Wanalazimishe Kasarani iwe empty vile Makwapa ilikuwaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
17:01 it was halftime.., guys had stepped out of their seats kuenda wash rooms and stretching a bit.., yaani kwa kulazimisha hamjambo., kubalini tu ukweli.., seats are 48,000, CAF approved 44,000 tickets for safety reasons.., and it is the trend across East Africa..,
Hata nyinyi nyang’au msemeje kushushwa na Morroco hakuepuki😎
 
Hehehehe wewe ni matako!?
1. Tumeona picha hapo hamkujaza uwanja na video zimeonekana mechi ikichezeka kukiwa na empty seats.
2. Wacha USENGE kuwa mtu mzima, Tanzania alikua na ball possession ya 60 dhidi ya Burkinabe 40. Magoli mawili na goal attempts 16 nane zaidi ya Burkinabe.
Kenya ball possession 52 kwa 48 mkazidiwa goal attempts 14 dhidi ya 5.
Hata takwimu unazifahamu matako ya nguruwe wewe!?
Embu compare and contrast hapo chini.

View attachment 3429931View attachment 3429932
Mbona watanzania ni maboya hivi? hehehe, hii inaitwa logical fallacy, a skewed comparison analysis, Burkina Faso is not DRC kilaza.., mngecheza na hii hii DRC, same players na pia Kenya wacheze na hio Burkina Faso mlio cheza nao, only then your comparison will make sense, otherwise this is stupid, inaonyesha how shallow u are, madhara ya elimu duni, zero logic and critical thinking abilities hehehehe., yaani both are football matches but variables are not exactly the same, Watanzania ni vilaza kweli heheheehe
 
Mbona watanzania ni maboya hivi? hehehe, hii inaitwa logical fallacy, a skewed comparison analysis, Burkina Faso is not DRC kilaza.., mngecheza na hii hii DRC, same players na pia Kenya wacheze na hio Burkina Faso mlio cheza nao, only then your comparison will make sense, otherwise this is stupid, inaonyesha how shallow u are, madhara ya elimu duni, zero logic and critical thinking abilities hehehehe., yaani both are football matches but variables are not exactly the same, Watanzania ni vilaza kweli heheheehe
Ona huyu matako mwingine anaongea nini!?
Halafu hakuna ulichoongea zaidi ya takataka.
Hao DRC tukikutana nao AFCON wakiwa full mkoko na international players wake wote tuli draw nao.
Ninyi mmekutana na kinda hao!?
Comparison ipo kwasababu kwa renki Burkinabe ya 65 na DRC ya 61.
Na kitakwimu Burkinabe inaonekana kupiga hatua kimpira kuliko DRC,kwanini nisiweke comparison!?
Hivi hata zile hesabu za domain and range ulisoma kweli wewe matako!?
Yani Kenya kumfunga DRC ni sawa na Saudi Arabia kumfunga Argentina kombe la Dunia 2022, takwimu zinaonesha wazi DRC aliwazidi kimpira ila hakumakinika tu golini.
Ukija wa Tanzania takwimu zinaonesha Burkinabe tulimpelekea moto wa kifuu.
Wewe Kaa endeleza non-factuals.
 
Hii awamu ina shida, machawa wameamua tu kujizima data kwa manufaa binafsi. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
We acha tu,mie nipo ACT wazalendo nagombea mwaka huu pia Temeke, aisee CCM labda atapata urahisi kwenye urais,ila kwenye udiwani na Ubunge kazi anayo sana.
Kama Temeke wengi hata kuisikia CCM hawataki.
Pia kingine Kuna sheria kuhusu umiliki ardhi niliiskia ambayo inawapa haki wazenji kumiliki ardhi watakavyo huku bara,ila Mbara huruhusiwi kumiliki ardhi visiwani.
Hii nayo raia imewauma chini kwa chini sijui kama viongozi hawalijui hili.
 
Ona huyu matako mwingine anaongea nini!?
Halafu hakuna ulichoongea zaidi ya takataka.
Hao DRC tukikutana nao AFCON wakiwa full mkoko na international players wake wote tuli draw nao.
Ninyi mmekutana na kinda hao!?
Comparison ipo kwasababu kwa renki Burkinabe ya 65 na DRC ya 61.
Na kitakwimu Burkinabe inaonekana kupiga hatua kimpira kuliko DRC,kwanini nisiweke comparison!?
Hivi hata zile hesabu za domain and range ulisoma kweli wewe matako!?
Yani Kenya kumfunga DRC ni sawa na Saudi Arabia kumfunga Argentina kombe la Dunia 2022, takwimu zinaonesha wazi DRC aliwazidi kimpira ila hakumakinika tu golini.
Ukija wa Tanzania takwimu zinaonesha Burkinabe tulimpelekea moto wa kifuu.
Wewe Kaa endeleza non-factuals.
Wacha kulazimisha ujinga wako humu, can't u see how an idiot u are, what was the statistics then between Tz and DRC?.., and does ranking play football kilaza?.., tafuta elimu kilaza upunguze kujibu hoja kishabiki uanze kuandika kitaalamu., uko hovyooo! Can't even see the variables are not the same, kama ranking ndio unatumia u are a twat!
 
CCM imerudi ilivyokuwa 2015, tofauti kwa sasa upinzani umedhoofika.

CCM ni chama kizuri ila mtandao wamekiharibu sana, hasa kwa kuwa wao ndo wazee wa chama.

Wale wakubwa zao waliokuwa wakikemea mambo ya hovyo, wengi aidha walisha kufa au ni wazee sana.
Mmmh mkuu upinzani umerudi kwa Kasi. Ila alichokosea CDM ni kujiweka kando na uchaguzi hapo kuharibu.
Sehemu ambayo CCM hatopata upinzani ni kwenye kuwania Urais tu,ila ukija kwenye udiwani na Ubunge aisee kutakua Kuna viti vingi vya upinzani trust me.
Maana wanachama wa CDM wengi wamejiunga ACT kuongeza nguvu.

Aaah kaka CCM ipumzike inatosha,maana sera zao tayari zishapitwa na wakati ifike hatua waruhusu sera mpya na mawazo mapya kutoka kwa watu wapya.
 
Wacha kulazimisha ujinga wako humu, can't u see how an idiot u are, what was the statistics then between Tz and DRC?.., and does ranking play football kilaza?.., tafuta elimu kilaza upunguze kujibu hoja kishabiki uanze kuandika kitaalamu., uko hovyooo! Can't even see the variables are not the same, kama ranking ndio unatumia u are a twat!
Wewe makalio ya nguruwe rank inatumika kwenye mpira ili kushabihisha ubora wa timu kwa timu.
Rank ndio inapima mizani ya ubora makalio wewe.
Kama hujui mpira nyamaza.
Au unachojua wewe rank zinapeana tu kama chapoo hapo Kibera!?
Hata hao watu wa betting wanavyotoa odds za kubet huwa wanazingatia rank ya timu husika ambapo ndio ubora husika.
Naona naongea na kilaza hapa.
 
Wewe makalio ya nguruwe rank inatumika kwenye mpira ili kushabihisha ubora wa timu kwa timu.
Rank ndio inapima mizani ya ubora makalio wewe.
Kama hujui mpira nyamaza.
Au unachojua wewe rank zinapeana tu kama chapoo hapo Kibera!?
Hata hao watu wa betting wanavyotoa odds za kubet huwa wanazingatia rank ya timu husika ambapo ndio ubora husika.
Naona naongea na kilaza hapa.
mpumbavu ni mpumbavu, yani sikio la kufa halisikii dawa., idiocy on steroids here, betting firms even consider form of players and current performance ya team, basing on latest previous performance, sio mere ranking hehehehe, wewe ni fala, hehehe, team inaweza ku survive relegation season iliyopita, kisha current season wanashinda game zao zikifatana kwa mpigo., watapewa odds kidogo based on current variables that is making them win games, nyambaff!!..,
 
Mmmh mkuu upinzani umerudi kwa Kasi. Ila alichokosea CDM ni kujiweka kando na uchaguzi hapo kuharibu.
Upizani wa sasa unaweza fananidha na ule wa 1995 au 2010? Si dhani.
Sehemu ambayo CCM hatopata upinzani ni kwenye kuwania Urais tu,ila ukija kwenye udiwani na Ubunge aisee kutakua Kuna viti vingi vya upinzani trust me.
Maana wanachama wa CDM wengi wamejiunga ACT kuongeza nguvu.
Ngoja tuone.
Aaah kaka CCM ipumzike inatosha,maana sera zao tayari zishapitwa na wakati ifike hatua waruhusu sera mpya na mawazo mapya kutoka kwa watu wapya.
Naelewa kuchoshwa kwako na CCM, wengi walikuwa hivyo 2010-2015, ila hapa naongelea misingi ya chama, siyo watu.

kama mtandao wataondolewa, na kuletwa katiba ya Warioba (ambayo inawajibisha viongozi), CCm itakuwa vizuri.

Kwa sasa hakuna chama mbadala, Lissu (CHADEMA) kwa mfano, amejikamatisha sana na EU, sasa unajua mwenyewe, ajenda za akina Ursula zilivyo, tutashurutishwa mambo ya ajabu ajabu.
 
Back
Top Bottom