Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwanza City 🇹🇿
1138km from Dar es Salaam
1754307381513.jpg
 
🦒 Nchi ya Tanzania ilipokea watalii zaidi ya milioni tano (5) katika msimu wa utalii wa mwaka 2024/2025.

🦓 Tanzania inalenga kuvutia watalii zaidi ya milioni nane (8) kwa mwaka ifikapo 2030.

📸: Meli ya watalii ikiwasili Pwani ya Dar es Salaam
1754309155842.jpg
 
wakat rasi ananunua ticket na kugawa kwa wafanyakazi wa serekali na wale kalenjin wenzie huku kwetu kiwanda chapili cha FAW kimejengwa bagamoyo apart of that in kibaha 😂😂😂

hichi kitazalisha 5000 units by 2027 mwaka huu wataanza na 2000 units

IMG_7571.jpeg
IMG_7572.jpeg
IMG_7573.jpeg
IMG_7574.jpeg
IMG_7575.jpeg
IMG_7576.jpeg
IMG_7577.jpeg
IMG_7578.jpeg
IMG_7580.jpeg
 
wakat rasi ananunua ticket na kugawa kwa wafanyakazi wa serekali na wale kalenjin wenzie huku kwetu kiwanda chapili cha FAW kimejengwa bagamoyo apart of that in kibaha 😂😂😂

hichi kitazalisha 5000 units by 2027 mwaka huu wataanza na 2000 units

View attachment 3430991View attachment 3430994View attachment 3430995View attachment 3430997View attachment 3430998View attachment 3431000View attachment 3431001View attachment 3431003View attachment 3431004
Inatakiwa tupate kampuni moja ya magari ya kawaida na hyce za abiria, ili tupumzike na used za Japan.
 
Back
Top Bottom