Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We acha tu,mie nipo ACT wazalendo nagombea mwaka huu pia Temeke, aisee CCM labda atapata urahisi kwenye urais,ila kwenye udiwani na Ubunge kazi anayo sana.
Kama Temeke wengi hata kuisikia CCM hawataki.
Hivi sera za ACT wazalendo zikoje?
Pia kingine Kuna sheria kuhusu umiliki ardhi niliiskia ambayo inawapa haki wazenji kumiliki ardhi watakavyo huku bara,ila Mbara huruhusiwi kumiliki ardhi visiwani.
Hii nayo raia imewauma chini kwa chini sijui kama viongozi hawalijui hili.
Hii sheria ya wa znz kumiliki ardhi bara ila sisi kutomiliki kule, mbona ya zamani sana. Wakati na kua hata kwenda Znz ilikuwa lazima uwe na passport.
 
TANZANIA COUNTRY SIDE
Tanzania🇹🇿 imezindua mradi wa majaribio wa urani wenye thamani ya dola bilioni 1.2 ili kuchochea ukuaji wa uchumi na kuweka msingi wa maendeleo ya nishati safi ya baadaye.
Kenya endeleeni kuandamana 😂 😂 😂
1754306807942.jpg
 
What phone unatumia dogo hadi unajiaibisha hivi just zoom. Au unafikiri sisi wote ni wagonjwa wa macho. Zoom it.
Hii ni zaidi ya aibu kwa bara la Africa🤣🤣🤣😂.

Here I don't need to zoom anything to see how empty the stadium is.

1000038340.jpg
 
🦒 Nchi ya Tanzania ilipokea watalii zaidi ya milioni tano (5) katika msimu wa utalii wa mwaka 2024/2025.

🦓 Tanzania inalenga kuvutia watalii zaidi ya milioni nane (8) kwa mwaka ifikapo 2030.

📸: Meli ya watalii ikiwasili Pwani ya Dar es Salaam
1754309155842.jpg
 
wakat rasi ananunua ticket na kugawa kwa wafanyakazi wa serekali na wale kalenjin wenzie huku kwetu kiwanda chapili cha FAW kimejengwa bagamoyo apart of that in kibaha 😂😂😂

hichi kitazalisha 5000 units by 2027 mwaka huu wataanza na 2000 units

IMG_7571.jpeg
IMG_7572.jpeg
IMG_7573.jpeg
IMG_7574.jpeg
IMG_7575.jpeg
IMG_7576.jpeg
IMG_7577.jpeg
IMG_7578.jpeg
IMG_7580.jpeg
 
Back
Top Bottom