Hivi sera za ACT wazalendo zikoje?We acha tu,mie nipo ACT wazalendo nagombea mwaka huu pia Temeke, aisee CCM labda atapata urahisi kwenye urais,ila kwenye udiwani na Ubunge kazi anayo sana.
Kama Temeke wengi hata kuisikia CCM hawataki.
Hii sheria ya wa znz kumiliki ardhi bara ila sisi kutomiliki kule, mbona ya zamani sana. Wakati na kua hata kwenda Znz ilikuwa lazima uwe na passport.Pia kingine Kuna sheria kuhusu umiliki ardhi niliiskia ambayo inawapa haki wazenji kumiliki ardhi watakavyo huku bara,ila Mbara huruhusiwi kumiliki ardhi visiwani.
Hii nayo raia imewauma chini kwa chini sijui kama viongozi hawalijui hili.
Hii ni zaidi ya aibu kwa bara la Africa🤣🤣🤣😂.What phone unatumia dogo hadi unajiaibisha hivi just zoom. Au unafikiri sisi wote ni wagonjwa wa macho. Zoom it.
Namanga pakionekana hata lorry Tano hatuwezi pumua.
View: https://x.com/fuwadii/status/1952298867753406694?t=Km1NWuuviHbAfLBB4t_7Zw&s=19
Muone matokeo mara ngapi?😎.., tutaona matokeo.,
When we play MoroccoMuone matokeo mara ngapi?😎
Binguni.Hizo zinaenda wapi?
Alafu mnashindwa kuijaza wakati ya game 😂😂😂🤣Samia Suluhu Stadium, Arusha 🇹🇿
Hii ikikamilika itakuwa na design nzuri kuliko hiyo Talanta Stadium which is big for nothing View attachment 3430933
Tayari Morocco anaongoza kundi lenu mlilokuwa mnaongoza baada ya ushindi dhidi ya DRC.When we play Morocco
Kwani shida iko wapi wewe nyang’au?😂Alafu mnashindwa kuijaza wakati ya game 😂😂😂🤣
Hizo za Kenya mnaconstruct sasahivi mtajaza kwenye local league yenu kama Tanzania inavyojaza kwenye league ya ndani?Alafu mnashindwa kuijaza wakati ya game 😂😂😂🤣
Mechi ilichezqa saa mbili usiku sasa unataka watu wainge sa ngapi kumi na mbili 2 hrs before??Hii ni zaidi ya aibu kwa bara la Africa🤣🤣🤣😂.
Here I don't need to zoom anything to see how empty the stadium is.
View attachment 3430923