Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatizo la hawa mbuzi wanajiona kama wako level fulani ya juu kumbe ni wale wale wa dunia ya tatu. Dunia ya tatu hatuchekani matatizo yetu ni yale yale. Eti unacheka Tz kutojaza uwanja wa 60k kwamba raia wao masikini.
Hii ni zaidj ya umaskini. Ni utamaduni wa watu. Sisi sio kama Waingereza au Wajerumani qmbao soka ni zaidi ya dini kwao. At least Simba na Yanga kidogo tunaweza kujaza 60k stadium.
Ndio maana hata humu tulisema kujenga uwanja capacity zaidi ya 30k nje ya Dar ni kupoteza hela.
Huwa unanifurahisha vile unakuwanga na selective criticism. Yani muda huu huu Wabongo wanatucheka sisi Wakenya kisa wanadhani hatujajaza stadium wakati tunawatupia picha halisia ya uwanja ulivojaa ila wewe kwa mihemko yako unalialia eti tunawacheka. You're the biggest whiner on this forum.
 

Kenyans love football, na ndio kwa maana finals ziliwekwa Nairobi. Kama high school games zinajaa hivi. Bongoslum wanajua tu Simba na Yanga.

Image
 
Zaidi ya kumi.
Punguza kuropokwa, sasa ju Joho, Omanga and a few ni politicians wanapenda magari za kifahari inakua ni wakenya wote ni politicians.

Ebu tuambie nani politician hapa.


View: https://www.instagram.com/reel/DMyAnDGIAsx/?utm_source=ig_web_copy_link&igsh=MzRlODBiNWFlZA==

sio joho wala omanga wala sudi, yani kenya huwez kua tajiri kama hauko kwenye mnyororo wa politics never ever

na owners wakubwa wa ardhi majumba ni either known politician au foreigner 😂
 
Tusubiri tuone ila Kenya haitoboi.
Zambia 83 kwa rank,Morocco ya 12 na Angola ya 85.
CAF amewaonea sana Kenya.
Tanzania kapewa vilema watupu kasoro Burkina Faso tu.
CAR, Mauritania na Madagascar hamuna kazi mule twajipigia tu.
Kiufupi Taifa stars ishaongoza kundi na haishuki hapo juu.
 
Tusubiri tuone ila Kenya haitoboi.
Zambia 83 kwa rank,Morocco ya 12 na Angola ya 85.
CAF amewaonea sana Kenya.
Tanzania kapewa vilema watupu kasoro Burkina Faso tu.
CAR, Mauritania na Madagascar hamuna kazi mule twajipigia tu.
Kiufupi Taifa stars ishaongoza kundi na haishuki hapo juu.
Mnakuanga mafala Sana. Kwani ranks ndio ucheza ball?🤣🤣🤣.

Mbona hiyo rank haikufanya mjaze Makwapa Jana?
 
Tusubiri tuone ila Kenya haitoboi.
Zambia 83 kwa rank,Morocco ya 12 na Angola ya 85.
CAF amewaonea sana Kenya.
Tanzania kapewa vilema watupu kasoro Burkina Faso tu.
CAR, Mauritania na Madagascar hamuna kazi mule twajipigia tu.
Kiufupi Taifa stars ishaongoza kundi na haishuki hapo juu.
Hio DR Congo tumepiga ni ya ngapi? Mbona huandiki hio? 🤣 🤣
 

Phase 2 ya kasarani is next after CHAN and involves exterior work. The whole area will be modernized to world class standards. Nyayo stadium phase 2 coming too after CHAN. Involves roofing ( I saw the renders. It’s world class). I foretold you about Talanta lighting system mkanipiga . Now I am foretelling you about Kasarani exterior work and Nyayo exterior and roofing installation. They look amazing. Save this post.
 
Wakenya washaanza kujaza Nyayo Stadium where Morocco and Angola will play. Watanzania nao hata hawawezi jaza penye timu Yao inachezea🤣😂😂

1000037823.jpg
 
Back
Top Bottom