Teargass
JF-Expert Member
- Apr 23, 2018
- 30,919
- 33,195
Unaumia ukiwa wapi?View attachment 3429760
Hii ndio hiyo picha uliyoipost sasa hivi maku,zoom urself
Unaumia ukiwa wapi?View attachment 3429760
Hii ndio hiyo picha uliyoipost sasa hivi maku,zoom urself
Pain delivered safely to Uchawiland😂😂Mambo yalivyo
View attachment 3429763
Mnakuanga mafala Sana. Kwani ranks ndio ucheza ball?🤣🤣🤣.Tusubiri tuone ila Kenya haitoboi.
Zambia 83 kwa rank,Morocco ya 12 na Angola ya 85.
CAF amewaonea sana Kenya.
Tanzania kapewa vilema watupu kasoro Burkina Faso tu.
CAR, Mauritania na Madagascar hamuna kazi mule twajipigia tu.
Kiufupi Taifa stars ishaongoza kundi na haishuki hapo juu.
Hio DR Congo tumepiga ni ya ngapi? Mbona huandiki hio? 🤣 🤣Tusubiri tuone ila Kenya haitoboi.
Zambia 83 kwa rank,Morocco ya 12 na Angola ya 85.
CAF amewaonea sana Kenya.
Tanzania kapewa vilema watupu kasoro Burkina Faso tu.
CAR, Mauritania na Madagascar hamuna kazi mule twajipigia tu.
Kiufupi Taifa stars ishaongoza kundi na haishuki hapo juu.
Wanadhani ranking ndio inacheza mpira😂😂Hio DR Congo tumepiga ni ya ngapi? Mbona huandiki hio? 🤣 🤣
Punguza hasira wewe nyang’au😂Mnakuanga mafala Sana…
Endelea kulia wewe chokoraa 😂😂🤣Unaogopa kuzoom picha yako View attachment 3429772
Wamezoea vya bure😂😂Mmejaza ya bure lakini ya tickets hamwezi 🤣🤣🤣🤣
Nyinyi ndio mpunguze hasira, you expected Kenya to lose and not fill the Stadium lakini zote mmejipiga own goal😂😂Punguza hasira wewe nyang’au😂
Ushindi wenu wa First time CHAN.Nyinyi ndio mpunguze hasira, you expected Kenya to lose and not fill the Stadium lakini zote mmejipiga own goal😂😂