NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,386
- 17,968
Huwa unanifurahisha vile unakuwanga na selective criticism. Yani muda huu huu Wabongo wanatucheka sisi Wakenya kisa wanadhani hatujajaza stadium wakati tunawatupia picha halisia ya uwanja ulivojaa ila wewe kwa mihemko yako unalialia eti tunawacheka. You're the biggest whiner on this forum.Tatizo la hawa mbuzi wanajiona kama wako level fulani ya juu kumbe ni wale wale wa dunia ya tatu. Dunia ya tatu hatuchekani matatizo yetu ni yale yale. Eti unacheka Tz kutojaza uwanja wa 60k kwamba raia wao masikini.
Hii ni zaidj ya umaskini. Ni utamaduni wa watu. Sisi sio kama Waingereza au Wajerumani qmbao soka ni zaidi ya dini kwao. At least Simba na Yanga kidogo tunaweza kujaza 60k stadium.
Ndio maana hata humu tulisema kujenga uwanja capacity zaidi ya 30k nje ya Dar ni kupoteza hela.