Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna video niliona Kuna Mkoa raia wanatupa Kadi za uanachama CCM na wanarudisha baiskeli.
CCM imerudi ilivyokuwa 2015, tofauti kwa sasa upinzani umedhoofika.
Hakuna awamu CCM imebugi ama awamu hii ya Samia Suluhu.
Daah ni basi tu tupo TZ ila hakuna kiongozi wa hovyo kama huyu mama kuwahi kutokea.
CCM ni chama kizuri ila mtandao wamekiharibu sana, hasa kwa kuwa wao ndo wazee wa chama.

Wale wakubwa zao waliokuwa wakikemea mambo ya hovyo, wengi aidha walisha kufa au ni wazee sana.
 
That's an observation deck. And yes, people pay to get there. You can't get there without paying. Hao wote unaowaona hapo wamelipa pesa to get there
Just tell him those people paid 200 bob per person. That’s 4 times what they were unable to pay hili waende watazame ball kule Makwapa🤣🤣😂🤣
 
Just tell him those people paid 200 bob per person. That’s 4 times what they are unable to pay hili warned watazame ball kule Makwapa🤣🤣😂🤣
You mean kwao tickets ni 50 bob?🤣🤣🤣🤣😂😂🤣
I had no idea. Na stadium bado iko empty!!! Poor footballing nation
 
Emptiness is beautiful to you? What happened to Tanzanians love football?
We huoni stadium inavyopendeza wewe au una wivu wa kike?
This tournament has really exposed your lies😂😂🤣😂
Hakuna cha ajabu hapo, watu huwa hawajai kwenye mechi za Taifa stars. Hii ni kutokana na historia mbaya tuliyokuwa nayo huko nyuma, ila idadi imeanza kuongezaka kidogo kidogo, hivi karibuni, kwa sababu kiwango chetu kimepanda.
 
Back
Top Bottom