mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,446
- 4,951
Hata si kesho leo kuna game ya Madagascar na Mauritania saa mbili mkapa
Let's wait and see 😂😂Hata si kesho leo kuna game ya Madagascar na Mauritania saa mbili mkapa
Unaumia ukiwa wapi?Dah kuna Teargass anajitia dole ananusa duh
Leo hupei watu breathing space🤣🤣
Nyie haya mambo yenu ya kuiga na kujitutumua nje ya uwezo wenu kwaajili ya sifa za kijinga ndio anguko lenu. Wauguzi wanaplan kugoma due to kutolipwa mishahara.Kila mchezaji ashaingiza tsh 20m kwa mfuko 😋
Nyie haya mambo yenu ya kuiga na kujitutumua nje ya uwezo wenu kwaajili ya sifa za kijinga ndio anguko lenu. Wauguzi wanaplan kugoma due to kutolipwa mishahara.
Umeambiwa hawalipwi mishara au kuropokwa tu kama kawaida yenu?Nyie haya mambo yenu ya kuiga na kujitutumua nje ya uwezo wenu kwaajili ya sifa za kijinga ndio anguko lenu. Wauguzi wanaplan kugoma due to kutolipwa mishahara.
Kila wanachofanya wakenya wanatafuta validation Tanzania. Tukikataa tu wanapiga kelele. Ndio kawanda ya mtu unayemzidi kiwango atatafuta vitu vingi ili aonekane bora. Mara English, Mara GDP mara sijui nini.Hivi wewe nyang’au kwa nini hujiamini?😂
Pesa ni zetu lakini unawashwa weweNyie haya mambo yenu ya kuiga na kujitutumua nje ya uwezo wenu kwaajili ya sifa za kijinga ndio anguko lenu. Wauguzi wanaplan kugoma due to kutolipwa mishahara.
Full house ya Nyoko, why not zoom hapo upande wa screen alafu upo unaleta kidomo domo before match.Compare and Contrast.
Kasarani is full house
View attachment 3429962
Makwapa is 2/3 empty
View attachment 3429963
Sasa hivi ni kutaftilia kasoro ili kuficha aibu zenuHuyo kenge mwathadan na NairobiWalker wako wapi?
Aibu gani kenge wewe, si ndio ulikua na kimbelembele kutuletea watu wakiwa sijui Container depot wamepanga foleni ukisingizia mkapa.Sasa hivi ni kutaftilia kasoro ili kuficha aibu zenu
Ndio maana nasema wewe hujui mpira.Picha mliona ni za 1hr before game time. Kasarani was full to the brim. Yenu hata haikufika😂😂🤣
Sawa kwa takwimu hizo basi tuseme DRC imepata Ushindi WA 2-1. Are you happy now?😂😂🤣🤣