President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,767
- 89,792
Tuambie kenya imekaa Top kwenye Group A kwa dakika ngapi?. Hii ni new record ya FIFAWapi personal attacks hapo? Ama kuknyeshwa kwa empty seats at kwa Makwapa ni personal siku hizi?
Tuambie kenya imekaa Top kwenye Group A kwa dakika ngapi?. Hii ni new record ya FIFAWapi personal attacks hapo? Ama kuknyeshwa kwa empty seats at kwa Makwapa ni personal siku hizi?
Unataka tufanye nini?Huyo kenge mwathadan na NairobiWalker wako wapi?
Accept it stop crying. Hapo ni DK ya ngapi?
Anakuanga na kiherehere ya kujibu, vidole zinatype mbio kuliko akili.Huwa unaelewa kingereza kweli?
Tunapaswa kukuuliza we mbwa unayejidai ulipiga picha hapo mkapa.Unataka tufanye nini?
Accept it stop crying. Hapo ni DK ya ngapi?
View: https://vm.tiktok.com/ZMSKyDTGp/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok
Sidhani kuna mtu hata mmoja kwenye huo uwanja wa kupiga picha.. aibu gani hizi sasa. Ni wazi finali za afcon zitakua kenya hii hata haina ubishiWeka picha
Who could predict there is a match happening now in Tanzania 🤣🤣🤣😂. Yani hakuna hata fan moja
View: https://x.com/RadioTaifaFM/status/1952050747350175888?t=L1J3B3l5AZz6phP0axdkiA&s=19
Oneni vile Stadium iko empty, alafu wanasema wanaenda ball😂😂🤣🤣
View: https://x.com/ElijahKyama_/status/1952058552178082300?t=udm51zfFbEu8hDi9NHAvGA&s=19
Huwa inaniuma sana nikiona ndungu zetu waafrika wanakufa na njaa 😭 😭 😭Kwani fans have been banned au ni poverty. 🤣 🤣 🤣
Mbwana samantha
Fenerbahçe£2,740,000/year£52,684/week
Based on AiScore wage data for 2022–23 season
Hivi kuna mkenya aliwahi lipwa hata 40,000 usd per week
Oneni vile Stadium iko empty, alafu wanasema wanaenda ball😂😂🤣🤣
View: https://x.com/ElijahKyama_/status/1952058552178082300?t=udm51zfFbEu8hDi9NHAvGA&s=19
Oneni vile Stadium iko empty, alafu wanasema wanaenda ball😂😂🤣🤣
View: https://x.com/ElijahKyama_/status/1952058552178082300?t=udm51zfFbEu8hDi9NHAvGA&s=19
Yaani hivi Watanzania ni masking au shida ni ni!?
Huna macho🤣Sidhani kuna mtu hata mmoja kwenye huo uwanja…
We nawe huishi ubishi. Mkapa kote ni vumbi. Ni Aibu. Ongezea kwamba hamna mafans kwenye viwanja aibu kubwa kwenye jumuiyaTunapaswa kukuuliza we mbwa unayejidai ulipiga picha hapo mkapa.