Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mshamba ni ww ATM ni nn? tatizo lenu vitu kama hvo hamuna na hamutakua nayo 50yrs to come😂😂😂
Automated Teller Machine. Do you know what a teller is? A teller is someone who transact your finances, in the case of ATM it's automated. Ebu sasa niambie hiyo N-Card yenu Nani huwa anafanya transaction wa hizo payments?

Shida yako ni ufala na ujinga. Ungebaki Yemen isome vizuri hungekuwa unatuonyesha wako kwa nchi ya watu wengine.
 
tanzania ndio inayoaminikana na CAF so far sio nyinyi mulotuaibisha mpaka CHAN ikasogezwa mbele 6 months ahead kisa hamujamaliza ku renovate uwanja wa kasarani 😂😂😂😂😂 kama renovation tu inawatoa kamasi nini mutaweza nyinyi eti mumefunika running track iliooza kutumia carpet even ku renovate running track pia ni shida kwenu 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Mwambie CAF imewakataza wasitumie vuvuzela. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Teargass jana kwenye social media walipoona watanzania wanatamba na vuvuzela wamepiga kelele na kuitukana CAF
 
Automated Teller Machine. Do you know what a teller is? A teller is someone who transact your finances, in the case of ATM it's automated. Ebu sasa niambie hiyo N-Card yenu Nani huwa anafanya transaction wa hizo payments?

Shida yako ni ufala na ujinga. Ungebaki Yemen isome vizuri hungekuwa unatuonyesha wako kwa nchi ya watu wengine.
Brother unajiaibisha.
 
Automated Teller Machine. Do you know what a teller is? A teller is someone who transact your finances, in the case of ATM it's automated. Ebu sasa niambie hiyo N-Card yenu Nani huwa anafanya transaction wa hizo payments?

Shida yako ni ufala na ujinga. Ungebaki Yemen isome vizuri hungekuwa unatuonyesha wako kwa nchi ya watu wengine.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
I have given you a free lesson. Next time usiende kujiaibisha mbele ya watu.
 
tanzania ndio mkereketwa wa mpira kwa jumuiya hii ukubali ukatae bila tanzania kenya isingeambulia chochote 😂😂😂

sisi tuna GDP kubwa mbona hamujazuia ban yoyote baada ya ile ya kwetu mulivolia mukatoa mpaka kamasi
Kama game inainvolve timu yenu ipo empty, na je hizi game zingine? Utaona game ya Morocco na angola leo itajaa.
 
Back
Top Bottom