Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Future wenzako tushaanza kitambo 1400km from dar

View: https://youtu.be/PTC9TP9eApY?si=MGKbTJr5MwB326NR

This just a sample of Siaya county , Nyanza ..it’s the trend spreading all over Kenya Ushago areas . Sio sehemu moja tu
IMG_7270.jpeg
IMG_7268.jpeg
IMG_7267.jpeg
IMG_7266.jpeg
IMG_7265.jpeg
IMG_7264.jpeg
IMG_7263.jpeg
IMG_7262.jpeg
 
Ebu leta nyumba za kilifi huko kwa wakulima buana🤣🤣🤣🤣
I have a big farm Nanyuki so you can count me as a farmer ( kind of) . So when I post my finished project ya nyumba , utaanguka tu ..😜… it’s Baking kimya kimya .. ( Thanks to this forum for teaching me those 2 words)
 
View attachment 3419912View attachment 3419913
Babu jinga nikuambie tu mimi america hata kesho nikitaka kuja nakuja,nina familia huko tena sio za kuunga unga uamerika wa green card,nilipokua huko nilikua naendesha van za cousin yangu na anamiliki trucks zaidi ya 10,hapo TZ babu yangu alishashika nyadhifa za namba 2,namba 3 na nyadhifa kibao,sema ndio wale wazee wa zamani awakua wezi serikali,ila walisambaza familia zao europe na america,fani yangu welder na aluminum window specialist,welder nimesomea sweden,kampuni ninayofanya inapiga kazi europe so america kwann mimi,hii july nilikua malta kwa siku 5 now nipo kwa neta hapa tunarekebisha majengo,mwezi na nusu nitakua hapa maku ww,na kila miezi 4 naenda bongo mimi sio mshamba wa america maku ww
Story za abunuasi na omba omba wa kiatu kimoja 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Toka hapo Kajiando uzunguke Tanzania mdogo wangu. Pitia hii video halafu ukimaliza kuitazama jiite kuwa wewe ni mwehu


View: https://youtu.be/usawus9p-cI?si=_bchM8yd8I8cr7RE
 
I have a big farm Nanyuki so you can count me as a farmer ( kind of) . So when I post my finished project ya nyumba , utaanguka tu ..😜… it’s Baking kimya kimya .. ( Thanks to this forum for teaching me those 2 words)
Huwa sisi hatuna tabia ya showoff anyway acha kuokota picha kwa mitandao unajiabisha
Hapa ilikuwa nii wakulima Mimi nimekuletea mfano wa Kijiji Cha wakulima wanaolima migomba na kadhalika na mixture ya wengine acha kuokota picha leta picha ya Kijiji kama hicho. Video
chrome_screenshot_Jul 26, 2025 11_46_03 PM GMT+03_00.png
 
Back
Top Bottom